Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Aisee picha itaua watuHata picha yake mkuu
Subiri utambulishoMbna simuon huyo Six.
Sangapi mkuu tukae mkao.Subiri utambulisho
Tunasubiri watambulisho hao wachezaji wao watatu alafu sisi tunatambulisha mmoja tu booooomSangapi mkuu tukae mkao.
Ngja tuone.Tunasubiri watambulisho hao wachezaji wao watatu alafu sisi tunatambulisha mmoja tu booooom
Sisi atutaki kusikilizq maneno ya wafamajiKwani FIFA washakaa kikao mpaka Gongowazi watambulishe mchezaji?
mwaka jana injinia aliwategeshea sawadogo makolo wakajaa,mwaka huu kawategeshea tena fabrice mdundiko hao mambumbu wamejaa tenaππHabari zenu..
Simba wamesema leo watatawanya bahari kwa wachezaji watakao watambulisha.
Ina maana ni wachezaji wanzuri,sasa simba wajiandae kisaikolojia vinzuri maana yanga watatambulisha namba 6 yao itakuwa boom kwa simba.
Hao wachezaji wa 3 wa simba watafunikwq na mchezaji namba 6 wa yanga.
Namba 6 ipo mjini na ishamalizana na yanga uwiiiiiii uwiiiiii uwiiiii linakufa jitu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£.mwaka jana injinia aliwategeshea sawadogo makolo wakajaa,mwaka huu kawategeshea tena fabrice mdundiko hao mambumbu wamejaa tenaππ
Kwani wewe hupendi pesa.....wakongo ni watu tunapenda ela na hapa Tanzania tumekuja kutafuta ela......Mayele F
Kwani wewe hupendi pesa
Kama aziziHabari zenu..
Simba wamesema leo watatawanya bahari kwa wachezaji watakao watambulisha.
Ina maana ni wachezaji wanzuri,sasa simba wajiandae kisaikolojia vinzuri maana yanga watatambulisha namba 6 yao itakuwa boom kwa simba.
Hao wachezaji wa 3 wa simba watafunikwq na mchezaji namba 6 wa yanga.
Namba 6 ipo mjini na ishamalizana na yanga uwiiiiiii uwiiiiii uwiiiii linakufa jitu
Ana mkataba na yanga mpaka 2024 na huenda akaongezewa Tena mkatabaNapenda...Hapo Mayele anamaanisha anataka aongezewe mzigo na Yanga zaidi ya ule wa waarabu...wakishindwa aachwe aende kwenye pesa nyingi
Umri umemtupa form yake ipo chini sio Kama wakati ule akiwa raja Casablanca Hata DRC national team hatumiki , makabi lilepo na mayele wanatumikiaFabrice Drum?