Gotze Giyani
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 127
- 194
Ela ninayo chifu labda ungeniambia nitafute shiling ngapiTafuta hela naona kazi yako ni kuangalia number za Magari tu
Ni kweli. D ilipokaribia mwisho watu walilipia ushuru magari llakini walipopata barua ya clearance hawakuomba namba wakawa wanasubiri D iishe.Wadau nimeona mpaka EAM tena huku mkoani kabisa kulikoni namba E inakimbia hivi ni watu wananunua sana magari au walificha magari walipoona namb D inamalizikia au ndio maisha bora kwa kila mtanzania na kama mtuu anataka kumiliki ndinga awe na kipato cha shiling ngapi kwa mwaka ndinga kama premio au Allion 1500cc nimeuliza tuuu
Tuliambiwa tule kwa urefu wa kambaNyoosheni maelezo tu, UPIGAJI, UTAKATISHAJI, 10% na POSHO sasa ni sehemu halali ya watendaji wa serikali na kwakuwa hamna kiranja, zinatumika hadharani tu bila woga.
Kwamba walikuwa wanasubiri D iishe, ni sababu ya kindezi kabisaa!
MUNGU ametuamulia .....Wadau nimeona mpaka EAM tena huku mkoani kabisa kulikoni namba E inakimbia hivi ni watu wananunua sana magari au walificha magari walipoona namb D inamalizikia au ndio maisha bora kwa kila mtanzania na kama mtuu anataka kumiliki ndinga awe na kipato cha shiling ngapi kwa mwaka ndinga kama premio au Allion 1500cc nimeuliza tuuu
Iko siku zitarudiEnzi zile za Giza ilikua ukinunua hata Vitz unatishiwa kukamatwa, ila MUNGU fundi
.Watu washalamba no zao kitamboView attachment 2373815
Poa tutasubiria ata R