Namba E inakimbia sana kulikoni

Namba E inakimbia sana kulikoni

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau nimeona mpaka EAM tena huku mkoani kabisa kulikoni namba E inakimbia hivi ni watu wananunua sana magari au walificha magari walipoona namb D inamalizikia au ndio maisha bora kwa kila mtanzania na kama mtuu anataka kumiliki ndinga awe na kipato cha shiling ngapi kwa mwaka ndinga kama premio au Allion 1500cc nimeuliza tuuu
 
Wadau nimeona mpaka EAM tena huku mkoani kabisa kulikoni namba E inakimbia hivi ni watu wananunua sana magari au walificha magari walipoona namb D inamalizikia au ndio maisha bora kwa kila mtanzania na kama mtuu anataka kumiliki ndinga awe na kipato cha shiling ngapi kwa mwaka ndinga kama premio au Allion 1500cc nimeuliza tuuu
Ni kweli. D ilipokaribia mwisho watu walilipia ushuru magari llakini walipopata barua ya clearance hawakuomba namba wakawa wanasubiri D iishe.

Huu ni udhaifu mwingine wa mfumo wa namba zetu, kwamba zinaonyesha gari ilisajiriwa kipindi gani. Ili kuepuka hilo gari ikiwa written off ile namba inatakiwa itolewe upya, hata kama leo hii mtu apewe AAB mfano, au BTH nk
 
Kwa gari ulilosema roughly itakua na matumizi haya:

1. Mafuta 5,000 kwa siku, Mwezi ni 150,000/=

2. Service kwa miezi 6 oil (Tsh 80,000/=), brake zinaweza kaa ata mwaka (Tsh 80,000/=), kuosha na parking roughly 100,000 kwa mwezi, na emergency na accessories Tsh 100,000/= kwahiyo ukipiga math average kwa mwezi ni 200,000/=

Kwahiyo kama upo tayari kutenga Tsh , 200,000 hadi 300,000/= kwa mwezi, unaweza.
 
Nyoosheni maelezo tu, UPIGAJI, UTAKATISHAJI, 10% na POSHO sasa ni sehemu halali ya watendaji wa serikali na kwakuwa hamna kiranja, zinatumika hadharani tu bila woga.

Kwamba walikuwa wanasubiri D iishe, ni sababu ya kindezi kabisaa!
 
Watu washalamba no zao kitambo
Screenshot_2022_1001_144814.jpg
 
Nyoosheni maelezo tu, UPIGAJI, UTAKATISHAJI, 10% na POSHO sasa ni sehemu halali ya watendaji wa serikali na kwakuwa hamna kiranja, zinatumika hadharani tu bila woga.

Kwamba walikuwa wanasubiri D iishe, ni sababu ya kindezi kabisaa!
Tuliambiwa tule kwa urefu wa kamba
 
Wadau nimeona mpaka EAM tena huku mkoani kabisa kulikoni namba E inakimbia hivi ni watu wananunua sana magari au walificha magari walipoona namb D inamalizikia au ndio maisha bora kwa kila mtanzania na kama mtuu anataka kumiliki ndinga awe na kipato cha shiling ngapi kwa mwaka ndinga kama premio au Allion 1500cc nimeuliza tuuu
MUNGU ametuamulia .....
 
Hivi system inakuwaje kwa namba za huko maana gari mpya na ya zamani namba aina moja au mimi ndio sielewi
 
Back
Top Bottom