Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Nov 13, 2022 #1 Hizo ndio takwimu zinavyoonesha. Nchi iliporomoka vibaya sana katika miaka hiyo kumi alipokuwa anaongoza rais mstaafu Mwinyi. Alishindwa kufanya makubaliano mazuri ya kiuzalendo na IMF na WB ili uchumi usiporomoke Mwaka 1985 Mwaka 1995
Hizo ndio takwimu zinavyoonesha. Nchi iliporomoka vibaya sana katika miaka hiyo kumi alipokuwa anaongoza rais mstaafu Mwinyi. Alishindwa kufanya makubaliano mazuri ya kiuzalendo na IMF na WB ili uchumi usiporomoke Mwaka 1985 Mwaka 1995
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 9,748 Reaction score 26,238 Nov 13, 2022 #2 Unataka kusemaje kuhusu wazanzibar? Maana bimkubwa ameturudisha uchumi wa chini kutoka uchumi wa kati
Unataka kusemaje kuhusu wazanzibar? Maana bimkubwa ameturudisha uchumi wa chini kutoka uchumi wa kati