Namba hazidanganyi, Rais Samia Suluhu ameupiga mwingi

Namba hazidanganyi, Rais Samia Suluhu ameupiga mwingi

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Hivi ni takwimu walitoa Benki Kuu ya Tanzania mwanzoni mwa mwezi Machi 2022. Takwimu zinaonesha kwamba shughuli za utoaji wa huduma zimeimarika zaidi hadi kufikia Machi 2022 ukilinganisha na kipindi kama hicho Machi 2021.

Haya yote ni matunda ya kufunguka kwa uchumi, utalii na pia kuboreshwa kwa mazingira ya kibiashara nchini. Kwa hili nampongeza sana Rais Samia Suluhu kwa kazi kubwa anayofanya.

Do your own research and strategy (6).png
 
Hivi ni takwimu walitoa Benki Kuu ya Tanzania mwanzoni mwa mwezi Machi 2022. Takwimu zinaonesha kwamba shughuli za utoaji wa huduma zimeimarika zaidi hadi kufikia Machi 2022 ukilinganisha na kipindi kama hicho Machi 2021.

Haya yote ni matunda ya kufunguka kwa uchumi, utalii na pia kuboreshwa kwa mazingira ya kibiashara nchini. Kwa hili nampongeza sana Rais Samia Suluhu kwa kazi kubwa anayofanya.

Hata wale waliosema sijui tozo zitakimbiza watu kutumia mitandao,majibu yao haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220521-215651.png
    Screenshot_20220521-215651.png
    122.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220521-213837.png
    Screenshot_20220521-213837.png
    129.5 KB · Views: 12
Kuna mfumuko mkubwa Sana wa Bei wa bidhaa uliotokana na TOZO na Bei ya mafuta ambazo Zina Kodi 23.
 
Kuna mfumuko mkubwa Sana wa Bei wa bidhaa uliotokana na TOZO na Bei ya mafuta ambazo Zina Kodi 23.
Tozo kama zipi hizo zilizosababisha mfumuko mkubwa wa bei au unaropoka tuu..

Kati ya Nchi hizi hapa wapi kuna mfumuko mkubwa wa bei? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220526-132951.png
    Screenshot_20220526-132951.png
    71.5 KB · Views: 7
Tozo kama zipi hizo zilizosababisha mfumuko mkubwa wa bei au unaropoka tuu..

Kati ya Nchi hizi hapa wapi kuna mfumuko mkubwa wa bei? 👇
Msilazimishwe mtu apendwe, Aje tu mwingine, Urais sio zawadi Kwamba Tumzawadie.

Amalizie yote alotumwa akiwa na uncle apumzike.

Akisaidia kurudisha mchakato kupitia Rasimu alosimamia WARIOBA wa KATIBA mpya kupatikana atakumbukwa sana hata na wajukuu zake. Amen.
 
Msilazimishwe mtu apendwe, Aje tu mwingine, Urais sio zawadi Kwamba Tumzawadie.

Amalizie yote alotumwa akiwa na uncle apumzike.

Akisaidia kurudisha mchakato kupitia Rasimu alosimamia WARIOBA wa KATIBA mpya kupatikana atakumbukwa sana hata na wajukuu zake. Amen.
Anapewa au atagombea na kushinda? Na nyie wekeni mtu wenu shida iko wapi?

Mwisho,ulichojibu ndio kinahusianaje na maelezo uliyoyanukuu?
 
Anapewa au atagombea na kushinda? Na nyie wekeni mtu wenu shida iko wapi?

Mwisho,ulichojibu ndio kinahusianaje na maelezo uliyoyanukuu?
Mnataka kuleta Takwimu za kupika Ili kuhadaa watu.

Hawezi gombea kama hamna uchaguzi, tunaandika KATIBA mpya kwanza ndo tuende Kwa uchaguzi.
 
Mnataka kuleta Takwimu za kupika Ili kuhadaa watu.

Hawezi gombea kama hamna uchaguzi, tunaandika KATIBA mpya kwanza ndo tuende Kwa uchaguzi.
Zikipikwa na wewe unaleta Takwimu sahihi badala ya kulia Lia kama ngedere..

Samia ni next level 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220602-084222.png
    Screenshot_20220602-084222.png
    111 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220601-153358.png
    Screenshot_20220601-153358.png
    131.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220601-153114.png
    Screenshot_20220601-153114.png
    71.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220601-153038.png
    Screenshot_20220601-153038.png
    233.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220601-150753.png
    Screenshot_20220601-150753.png
    243.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220531-224525.png
    Screenshot_20220531-224525.png
    169.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220531-224131.png
    Screenshot_20220531-224131.png
    203.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220531-131921.png
    Screenshot_20220531-131921.png
    171.9 KB · Views: 4
Zikipikwa na wewe unaleta Takwimu sahihi badala ya kulia Lia kama ngedere..

Samia ni next level 👇
Endeleeni kupiga MAPAMBIO mkisifu na kuimba, maana hata aliyepita ilikuwa hivi hivi.

Nchi hii Uchumi unategemea KILIMO kama backbone, zaidi ya 70% ni wakulima na wafugaji.

Punguzo la sh 100, kwenye Bei za mafuta litachangia Kwa kiasi Gani kupunguza mfumuko wa Bei mf ya mbolea iliyoongezeka Kwa zaidi ya 400%?

Kwa Maana Bei Dec 2020 mfuko wa mbolea ulikuwa 25,000 hivi sasa June 2022 mbolea inauzwa 85,000.

Nijibu Kwa data we mpuliza filimbi!!!😠😠😠
 
Endeleeni kupiga MAPAMBIO mkisifu na kuimba, maana hata aliyepita ilikuwa hivi hivi.

Nchi hii Uchumi unategemea KILIMO kama backbone, zaidi ya 70% ni wakulima na wafugaji.

Punguzo la sh 100, kwenye Bei za mafuta litachangia Kwa kiasi Gani kupunguza mfumuko wa Bei mf ya mbolea iliyoongezeka Kwa zaidi ya 400%?

Kwa Maana Bei Dec 2020 mfuko wa mbolea ulikuwa 25,000 hivi sasa June 2022 mbolea inauzwa 85,000.

Nijibu Kwa data we mpuliza filimbi!!!😠😠😠
Wewe unaetumia Lita 10 za mafuta Kwa siku hakuna nafuu utaiona ila wenye mabasi ya masafa ,mitambo nk wanashukuru Sana..

Mwisho haihitaji pambio na macho unayo.
 
Endeleeni kupiga MAPAMBIO mkisifu na kuimba, maana hata aliyepita ilikuwa hivi hivi.

Nchi hii Uchumi unategemea KILIMO kama backbone, zaidi ya 70% ni wakulima na wafugaji.

Punguzo la sh 100, kwenye Bei za mafuta litachangia Kwa kiasi Gani kupunguza mfumuko wa Bei mf ya mbolea iliyoongezeka Kwa zaidi ya 400%?

Kwa Maana Bei Dec 2020 mfuko wa mbolea ulikuwa 25,000 hivi sasa June 2022 mbolea inauzwa 85,000.

Nijibu Kwa data we mpuliza filimbi!!!😠😠😠
Mkuu

Tayari

Kipara keshakimbia mjadala wa Bajeti ya nishati


TUSUBIRI Moto ukiwaka leo hapo BUNGENI
 
Wewe unaetumia Lita 10 za mafuta Kwa siku hakuna nafuu utaiona ila wenye mabasi ya masafa ,mitambo nk wanashukuru Sana..

Mwisho haihitaji pambio na macho unayo.
Macho ninayo, niliwahi kununua petrol Kwa sh 1800 Kwa huyu huyu mnaemtukana, ilkuwa nov 2020.

Gharama za usafirishaj trucks za mizigo Kutoka Dar Hadi msm Bei imepanda Kwa 1 million Kwa route moja. Imefika 2m Kutoka 1m.

Walitegemea punguzo la maana, mnapunguza sh 50, mnatuonaje?

CCM ni Ile Ile, tukishughulika na CCM ikang'oka tutapumua maana mnanufaika na ugumu wa maisha ya Watanzania.
 
Macho ninayo, niliwahi kununua petrol Kwa sh 1800 Kwa huyu huyu mnaemtukana, ilkuwa nov 2020.

Gharama za usafirishaj trucks za mizigo Kutoka Dar Hadi msm Bei imepanda Kwa 1 million Kwa route moja. Imefika 2m Kutoka 1m.

Walitegemea punguzo la maana, mnapunguza sh 50, mnatuonaje?

CCM ni Ile Ile, tukishughulika na CCM ikang'oka tutapumua maana mnanufaika na ugumu wa maisha ya Watanzania.
Mazingira ya kisiasa Duniani ya wakati huo yalikuwa sawa na Sasa?

Sababu za kuongeza bei huzijui? Acha utoto ntakuchoka sio mda 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220602-104257.png
    Screenshot_20220602-104257.png
    169.5 KB · Views: 4
Hivi ni takwimu walitoa Benki Kuu ya Tanzania mwanzoni mwa mwezi Machi 2022. Takwimu zinaonesha kwamba shughuli za utoaji wa huduma zimeimarika zaidi hadi kufikia Machi 2022 ukilinganisha na kipindi kama hicho Machi 2021.

Haya yote ni matunda ya kufunguka kwa uchumi, utalii na pia kuboreshwa kwa mazingira ya kibiashara nchini. Kwa hili nampongeza sana Rais Samia Suluhu kwa kazi kubwa anayofanya.

Si kwasabab za tozo za miamala kuwa juu, watu wamekwepa kutumia huduma za kibank kwa wingi na kuacha mitandao pesa ambapo imewaajiri vijana na wengi mtaani, ukiwaza kuundani unona ni namna gani umasikini utaongezeka
 
Back
Top Bottom