Namba hazidanganyi,utabibu wa nyota unaonyesha kesho Yanga anafungwa lakini

Duh huu utabiri.......tusubiri kipindi cha pili
 

Pole sana py thon...naona utabiri wako haukuendana
 
Reactions: PNC
😀😀mkuu Katavi kuna wageni jukwaa la UTAMBULISHO wanahitaji makaribisho yakhee, nasikia wewe ndie master wa kupokea wageni....
Hahahaah mkuu nitapita huko muda si mrefu...,maana sijaingia kule muda mrefu kidogo
 
Mnajimu embu kuja hapa aiseee kwenye ugomv uko sahh na kwenye matokeo ulikua sahh ila tu refa kaharbu utabr wako
 
Kama nilivyosema awali siku ya Leo hutawaliwa ni vitu vby kama hujuma,ugomvi nk na nyota ilikuwa inambeba simba ndio maana licha ya kuwa pungufu waliweza kusawazisha na kuhusu hujuma kweli goli la simba lililokataliwa na goli la yanga pia kwa namna moja mchezo wa Leo kulikuwa na hujuma na ugomvi..

Mechi imekuwa sare lkn siku ya Leo haikuwa nzur kitabibu kwa upande wa yanga ndio maana hawakuweza kuondoka na ushindi,
 
Mnajimu embu kuja hapa aiseee kwenye ugomv uko sahh na kwenye matokeo ulikua sahh ila tu refa kaharbu utabr wako
Haha cyo ugomvi tu pia na hujuma nimepatia sema kdg tu ,sema refa kazingua haha
 
Ulichobashiri katika utabiri wako ni sawa tuliona fujo magomvi na kadi ,viti kung'olewa bao halali kukataliwa na bao haramu kukubaliwa.
 
upon vizuri sana. ebu tuambie man city , man u name Leicester
 
upon vizuri sana. ebu tuambie man city , man u name Leicester
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…