snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Mie hapa,Yani nimeona Kama nasoma kichina!Ngwini hapati hata punje hapo.
Ungwin huuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie hapa,Yani nimeona Kama nasoma kichina!Ngwini hapati hata punje hapo.
Nieleweshe japo kwa ufupi tuu
Je sisi wa ngumbalo,tukwekee kwa kishwahiliMkuu si umepewa maelezo kabisa hapo juu labda tuwe ana kwa ana ndio utaelewa. Hizo ni namba boss
Umenifanya nicheke kwa sautiHisabu kama hizi polepole anazifahamu kweli?
Ni ngumu sana kuoeleka kwa kiswahili ni sawa chemistry usome kiswahili
Mmh Mama unaniongopea nakuamiani Upo vizuri ghorofani. Unanizodoa tuSon hapa mbn kama umeongeza tatizo juu ya tatizo!!
Mamako nimetoka kapaaaaaaa!!
Hakyamama vile!!
Ha haaaa...Son hapa mbn kama umeongeza tatizo juu ya tatizo!!
Mamako nimetoka kapaaaaaaa!!
Hakyamama vile!!
Imagine nilivotoa macho TU kwa hiyo namba iliyoandikwa!Ha haaaa...
Ehehehhehehhehehe not in mathematics!!Mmh Mama unaniongopea nakuamiani Upo vizuri ghorofani. Unanizodoa tu
Hahaa mtu anayetamka mase ujue hata repeating decimal haweziiEhehehhehehhehehe not in mathematics!!
hii essay umeandika mwanangu,nimebaki nashangaa tu nikajiuliza na kichina umeshajua?
Aliyeniroga na Mase ,HAENDI MBINGUNI!!
Ah wachana na Mimi!!Hahaa mtu anayetamka mase ujue hata repeating decimal hawezii
Wanasema ukizijua namba umejua siri ya dunia...Ah wachana na Mimi!!
Ahahahhahhahahhahahahahahhaha wallahi I haaaaate Mase!!
Basi mi dunia siijui!!Wanasema ukizijua namba umejua siri ya dunia...
eh..teh..teh... test na fimbo za mwalimu kwa wanaokosa ziko mbele rudi nyumaSisi vilaza(ambao tunapenda kujifunza) huwa tunakaa siti za mbele tuelewe vizuri, nyuma huwa kuna fujo
Hahahahaha nishazoeat
eh..teh..teh... test na fimbo za mwalimu kwa wanaokosa ziko mbele rudi nyuma