A
Anonymous
Guest
Shida nyingine za migogoro au utaalam wa masuala ya ardhi ni kwa wananchi tunakosa pa kupiga simu na kuuliza kwa haraka na kupata taarifa tunayoitafuta
Tunaomba Waziri wa Ardhi aangalie upande wa kutoa huduma kwa namba ya wateja haina utaratibu mzuri au haijaelewka ijulikane kama haipatikani au inapatikana tujue njia ambayo wanaipenda zaidi, kama wanapenda kila saa twende ofisi za wizara kuuliza mambo madogo madogo pia watuambie
Kuna wakati walikuja na namba ya msaada kwa Whatsapp nayo siku hizi haieleweki mara usijibiwe, wananchi wa kawaida tunashindwa kuelewa tufanye nini?
Tunaomba JamiiForums mpaze sauti kwa ajili yetu