Namba ya huyu refa anayechezesha mechi ya leo, yanga na prison

Namba ya huyu refa anayechezesha mechi ya leo, yanga na prison

Sio shabiki wa timu ya rangi hii ILA Safi .....huu upuuzi wa kucheza mifaulo ya kipuuzi ni kuukomesha... ni kufata Tu Sheria hakuna cha kuoneana aibu....

Clear panalty watu wapewe .....sijui Una njano bado unafanya mifaulo ya kipuuzi ni kutandika Kadi Tu .....penati kama zinaweza fika 3,4 kama hawasikii wanaleta uhuni ....mwamuzi puliza t kipute ......
 
Back
Top Bottom