Kwaya lakini tayari.Sijawahi hata
Praise and worship team[emoji23][emoji23][emoji23]Kwaya lakini tayari.
Miaka fulani kuna bwana alikuaga ana vibe kupitiliza mda wa praise anapiga beki madhabauniππPraise and worship team[emoji23][emoji23][emoji23]
Japo kuimba nako sijui[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka fulani kuna bwana alikuaga ana vibe kupitiliza mda wa praise anapiga beki madhabauni[emoji23][emoji23]
Utaenda kuimba mbinguni sioπ π , sema mtu akikuotea hapo church kam so wewe yaani ulivyobize kutukuzaπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siku hizi nimepumzika kuimba madhabahuni.
Japo Mungu namuimbia kila siku,kila saa.
Hahah!Utaenda kuimba mbinguni sio[emoji28][emoji28], sema mtu akikuotea hapo church kam so wewe yaani ulivyobize kutukuza[emoji28]
InterestingHahah!
Mungu namuimbia kila siku,popote anasikia.
Church nilikuwa nalead nyimbo mara chache Sana na mara nyingi ilikuwa worship songs.
Mtaani mambo yameingiliana, pia seriousness ya team ni ndogo..bado sijapata sehemu nzuri ya kusettle.Interesting
Saivi kwanini hu lead!! [emoji94] [emoji92]
Sure.........Mtaani mambo yameingiliana, pia seriousness ya team ni ndogo..bado sijapata sehemu nzuri ya kusettle.
Hayo nilifanya nikiwa shule[emoji846]
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Sure.........
Sana hope you too crush.[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Uko poa?
Niko poaSana hope you too crush.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mtoto mzuri hivi natafuta namba yake kitambo lakini katoweka kabisa huku jukwaani!
Ngoja msiba uishe nimuundie kamati ndogo na kubwa
Mazee mbona unacheka tena ???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I have it nimpe nani we na Gyna am talking about the numberE bwana mwenye namba ya Wangari Maathai ..naitafuta desperatelly.