Asee kuhusu watoto aseeh kuna wakali kweli.Mkuu yule mtoto alikuwa ni mzuri, kwanza moyo ulilipuka vile nilipomwona aisee.
Ni moja ya wanawake ambao nimeshindwa kuwareplace.
Asee kuhusu watoto aseeh kuna wakali kweli.
Kama hayuko huko
NdioHalaf nikishasema nmepata wapi ndio unaridhika na tongozo?
Na wengi wanashindwaAkishindwa jibu huyo hajitambui aisee
Ndio
Katafte mnakotaftagaNaomba no yako basi
Katafte mnakotaftaga
Uligegeda kaka????Mkuu hayo hayatakaa yaishe mkuu, na hilo ni swali gumu sana kujibu.
Siku moja nilikutana na dada mmoja mzuri sana Hospital, tumekaa nikajipendekeza tukaongea tu vizuri, nilipoomba namba akanitosa, bahati nzuri alitangulia yeye kwa daktari, mimi nikafuata baada yake, sasa bahati nzuri kwenye form zile kuna mahali pa kujaza namba, nikaview ile namba nikaiweka kichwani, nimetoka tu nikaisave.
Kesho yake nampigia kumuuliza anaendeleaje nikaulizwa hilo swali maana anakumbuka hakunipa, nikamweleza process yote ilivyokuwa hakukubali, ilibidi arudi hospital kumuuliza daktari kama alinipa namba, daktari akamwambia hakuna kitu kama hicho, thanks God, ile process nilivyoielezea ndo iliyoonesha kweli nilikuwa na nia ya dhati.
Uligegeda kaka????
hahahahahahahah sijakuelewa ulimaanisha nini, ina maana umechukua namba 20 tofauti?Ndugu yangu yapo hata hapa nimetoka kuchukua kama 20 hivi.
Hiyo nahisi kuna mtu ameipost hivi ni mimi kweli hapo.hahahahahahahah sijakuelewa ulimaanisha nini, ina maana umechukua namba 20 tofauti?
Nauliza tu