Namba yangu umepata wapi?

Nimetoka kuulizwa Hilo swali sasa hivi, Ila imebidi nitafute shida genuine ambayo iko mbali na tongozo baadae Ndio nimeanza mdogo Mdogo, hopefully weekend haitaisha kapa
[emoji23][emoji23]
 
Swagger ni moja tu

Me nakaza tu umenipa wewe mwenyew kuna siku tulikutana kituo cha mabasi tukaongea kwa muda mfupi ndo tukabadilishana namba

Akikataa ivyo namlazimisha ndo ivyo
 
Na mwingine anakwambia haez ongea kitu mpaka umwambie ulikoipata namba yake na ukimtaja mtu anaenda kumuamshia dude...na ww ndo bas tena
 
Jibu mbona simpo tu, mi huwa nawajibu kwani ni namba ya siri au namba ya simu
 
Kuna mwingine niliwahi kumwambia nimeitoa kwenye system alikubali sema alikua f4 leaver.
 
Swagger ni moja tu

Me nakaza tu umenipa wewe mwenyew kuna siku tulikutana kituo cha mabasi tukaongea kwa muda mfupi ndo tukabadilishana namba

Akikataa ivyo namlazimisha ndo ivyo
Huku kwetu hakuna vituo vya basi mzeee
 
Eeeh baada ya kujua kuwa ulikua na nia ya dhati kilichofuata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…