Namba za simu za wake wa watuhumiwa wa Ugaidi zinatafutwa, watoto wao wanahitaji msaada kwenda shule

Namba za simu za wake wa watuhumiwa wa Ugaidi zinatafutwa, watoto wao wanahitaji msaada kwenda shule

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Nilikuwa nafuatilia huko Ulaya kuhusu namna wanafamilia wa watuhumiwa na hata wafungwa wanavyosaidiwa kuepusha adhabu ya makosa ya wazazi kwenda kuwaumiza watoto wasio na hatia. Mara nyingi watoto wa watuhumiwa hupatiwa michango ambapo husaidiwa kuendelea na masomo na kufarijiwa maana kutokufanya hivyo kumechangia watoto wengi kurithi au kujengeka hali ya kutaka kulipa kisasi pale wanapobaini wazazi wao walionewa.

Nichukue fursa kuleta wazo la anayefahamu namba za wake wa watuhumiwa azilete ili michango iweze kutumwa kuwasaidia watoto na kuwafanya wajitenge na kuona wao siyo sehemu ya tuhuma zinazowkabili wazazi wao.

Mbowe naamini anajiweza lakini watuhumiwa watatu waliobaki nadhani wanahitaji familia zao kupata faraja ya kiasi flani Cha kuendesha familia na kupata nauli yakwenda japo kumwona mpendwa wao.

Naamini hili siyo jukumu la chama Cha siasa kwa sababu watuhimiwa siyo wanasiasa na Wala wahanga siyo wanasiasa. Tutoe sadaka kusapoti ndugu zetu Hawa.

Lakini pia hii inafanyika kwa ndugu wengine wote wanaopitia matatizo Kama haya, tukijitoa na kuifanya hii kuwa sehemu ya sadaka zetu tutasaidia kupunguza wahalifu na watu wenye visasi kwenye jamii.

Nawasilishamo.
 
Hongera sana mleta uzi. CHADEMA kwa upuuzi wao wanamfikiria zaidi Mbowe kuliko wenzake walio pamoja nae kwenye kesi.
 
Tatzo no wake zao zikiwekwa hapa wahuni watawatongoza na akili za wanawake zilivyo fupi wanaweza kuliwa kimasihara
 
Nilikuwa nafuatilia huko Ulaya kuhusu namna wanafamilia wa watuhumiwa na hata wafungwa wanavyosaidiwa kuepusha adhabu ya makosa ya wazazi kwenda kuwaumiza watoto wasio na hatia. Mara nyingi watoto wa watuhumiwa hupatiwa michango ambapo husaidiwa kuendelea na masomo na kufarijiwa maana kutokufanya hivyo kumechangia watoto wengi kurithi au kujengeka hali ya kutaka kulipa kisasi pale wanapobaini wazazi wao walionewa.

Nichukue fursa kuleta wazo la anayefahamu namba za wake wa watuhumiwa azilete ili michango iweze kutumwa kuwasaidia watoto na kuwafanya wajitenge na kuona wao siyo sehemu ya tuhuma zinazowkabili wazazi wao.

Mbowe naamini anajiweza lakini watuhumiwa watatu waliobaki nadhani wanahitaji familia zao kupata faraja ya kiasi flani Cha kuendesha familia na kupata nauli yakwenda japo kumwona mpendwa wao.

Naamini hili siyo jukumu la chama Cha siasa kwa sababu watuhimiwa siyo wanasiasa na Wala wahanga siyo wanasiasa. Tutoe sadaka kusapoti ndugu zetu Hawa.

Lakini pia hii inafanyika kwa ndugu wengine wote wanaopitia matatizo Kama haya, tukijitoa na kuifanya hii kuwa sehemu ya sadaka zetu tutasaidia kupunguza wahalifu na watu wenye visasi kwenye jamii.

Nawasilishamo.
🙏🙏
 
Nilikuwa nafuatilia huko Ulaya kuhusu namna wanafamilia wa watuhumiwa na hata wafungwa wanavyosaidiwa kuepusha adhabu ya makosa ya wazazi kwenda kuwaumiza watoto wasio na hatia. Mara nyingi watoto wa watuhumiwa hupatiwa michango ambapo husaidiwa kuendelea na masomo na kufarijiwa maana kutokufanya hivyo kumechangia watoto wengi kurithi au kujengeka hali ya kutaka kulipa kisasi pale wanapobaini wazazi wao walionewa.

Nichukue fursa kuleta wazo la anayefahamu namba za wake wa watuhumiwa azilete ili michango iweze kutumwa kuwasaidia watoto na kuwafanya wajitenge na kuona wao siyo sehemu ya tuhuma zinazowkabili wazazi wao.

Mbowe naamini anajiweza lakini watuhumiwa watatu waliobaki nadhani wanahitaji familia zao kupata faraja ya kiasi flani Cha kuendesha familia na kupata nauli yakwenda japo kumwona mpendwa wao.

Naamini hili siyo jukumu la chama Cha siasa kwa sababu watuhimiwa siyo wanasiasa na Wala wahanga siyo wanasiasa. Tutoe sadaka kusapoti ndugu zetu Hawa.

Lakini pia hii inafanyika kwa ndugu wengine wote wanaopitia matatizo Kama haya, tukijitoa na kuifanya hii kuwa sehemu ya sadaka zetu tutasaidia kupunguza wahalifu na watu wenye visasi kwenye jamii.

Nawasilishamo.

Chadema wamekuwa wakiombwa kuwapo kwa mkakati wa wazi wa kuwahami wahanga na waathirika wa harakati hizi. Kwamba vita hivi michango yetu wote ya hali na mali inahitajika.

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Kimya kingi kwenye suala hili ambapo wahanga wanakuwa kama vile ni wachuma majanga tu kula na wakwao hakikubaliki.
 
Back
Top Bottom