Namba zinanuka: Naunga mkono TANESCO ifumuliwe, na ikiwezekana ibinafsishwe kabisa, Makamba yupo sahihi 100000%. TANESCO ni janga

Namba zinanuka: Naunga mkono TANESCO ifumuliwe, na ikiwezekana ibinafsishwe kabisa, Makamba yupo sahihi 100000%. TANESCO ni janga

Kuna kitu kinaandaliwa kwa ustadi mkubwa sana, huoni puppets wa February wanazidi kujaa humu? Ngoja tusubiri
Mkuu kumbe umeona hee kuna mapapeti hasa yamo humo kuwasifia hao magubigubi
 
Wasomi wa JF kama wewe kichefu chefu Sana

Unalaumu management ya Tanesco as if walikuwa na power ya kufanya lolote

Chini ya Magufuli mapato yote walikuwa wanapeleka hazina na matumizi yeyote lazima waombe kibali..
Mara nyingi vibali hawapewi zaidi ya matumizi ya kawaida


Wasomi wa Jf kama wewe kichefu chefu sana
Tanesco chini ya Magufuli walikuwa wanakabidhi mapato yote serikalini na spending yeyote Ile tofauti na mishahara wanaomba kibali...

Hao waganda wanafanya kazi kwenye setu ya aina hii??..

Nina thread kama 3 humu nalalamikia centralisation ya Magufuli ilivyo haribu uchumi....

Dig deeper..
Ndio taratibi hizo kila taasis inafabya huvyo hata TRA ;NHIF ni mfumo mzuri wa mKousabyo ya fedha ina inaongeza uwazi .ukitaka kufanya Matumizi unakuwa na bajeti yako na mpango hamna shida yoyote hiyo
 
Ndio taratibi hizo kila taasis inafabya huvyo hata TRA ;NHIF ni mfumo mzuri wa mKousabyo ya fedha ina inaongeza uwazi .ukitaka kufanya Matumizi unakuwa na bajeti yako na mpango hamna shida yoyote hiyo

As long management haikuwa na power ya Ku invest vipaumbele na vibali vya matumizi
Tofauti na mishahara.. huwezi sema Sawa kulinganisha na hao waganda
 
Wasomi wa JF kama wewe kichefu chefu Sana

Unalaumu management ya Tanesco as if walikuwa na power ya kufanya lolote

Chini ya Magufuli mapato yote walikuwa wanapeleka hazina na matumizi yeyote lazima waombe kibali..
Mara nyingi vibali hawapewi zaidi ya matumizi ya kawaida


Wasomi wa Jf kama wewe kichefu chefu sana
Tanesco chini ya Magufuli walikuwa wanakabidhi mapato yote serikalini na spending yeyote Ile tofauti na mishahara wanaomba kibali...

Hao waganda wanafanya kazi kwenye setu ya aina hii??..

Nina thread kama 3 humu nalalamikia centralisation ya Magufuli ilivyo haribu uchumi....

Dig deeper..
Kwenye hili la centralization aliharibu sana, Ila at least hatukuingia tena ile mikataba ya akina iptl, Dowans, Wala richmond
 
BFE038F1-B87E-422B-B262-F0E0988AB49F.jpeg


Well actually TANESCO mwaka jana wametengeneza faida nadhani hiyo ndio mara yao kwanza tangia dunia iumbwe.
 
Muundo mzima wa taasisi na mashirika ya umma umejaa kina baba haambiliki, wajuaji, na watu wasiiongeza tija yoyote kwa taifa. Wanalipwa mishahara na wanaona ni haki yao kutokuwajibika.

Cha kushangaza hata wizarani na sehemu nyingine, watu kama hao wamejaa tele. Naangalia kwa makini nini kitatokea Tanesco. Pengine itakuwa ndio mwanzo wa kufanya restructuring ya idara na taasisi nyingine zote kwa manufaa ya Taifa letu
 
Mimi ukiniuliza kwa namba, TANESCO ya Magufuli imefanya kazi kubwa kuliko Tanesco yoyote toka tupate uhuru.

Kabla ya 2015 TANESCO ilikua na wateja 1.8m, yaani kwa miaka 55 tanesco iliweza kuunganisha watenja 1.8m pekee.

Kwa miaka 5, yaani 2016 hadi 2021 tanesco imeunganisha wananchi 1.2m, kwa maana kwamba ukiwapa tanesco miaka 55 kama tanesco ya kabla ya 2016, wataunganisha wananchi 13.2m.

Magufuli alifanya mambo mengi mazuri na mabaya lakini mnapomponda msisahau facts basi ama muwe na facts na sio chuki tu kama vile mtu alietembe ana mkeo ama mpenzi wako.

Mbaya zaidi kwa kupindi hicho cha Magufuli TANESCO imeweza ku post faida ya 52B, angalia vitabu vya hesabu vya mwaka 2020 kutoka kwa CAG.

Sasa wewe nisaidie kujua ni tanesco gani ilikua nzuri zaidi ya hii ya Magufuli? Ile ya jakaya ya kukatika umeme siku 8? Ama nyingine? Ile ya jakaya ya Dowans, Symbion, Agreko, IPTL, Capacity charges, service charges, kuunganisha umeme kwa zaidi ya laki 3 kwa mjini ama tanesco ipi?

Tumponde Magu kwa facts kidogo basi.
Wajinga ndo mtaendelea kumwabudu mwendazake. Yule bwana alikuwa muongomuongo na mlaghai mkubwa.

Hakuna kipindi ambacho ni ngumu kupata data za Tanzania km kipindi alichoongoza huyo mnaemwita shujaa na ukipata data basi lazima inakuwa zimechezewa.

Yule bwana alikuwa dikteta kwa tafsiri yoyote ile.
 
Wajinga ndo mtaendelea kumwabudu mwendazake. Yule bwana alikuwa muongomuongo na mlaghai mkubwa.

Hakuna kipindi ambacho ni ngumu kupata data za Tanzania km kipindi alichoongoza huyo mnaemwita shujaa na ukipata data basi lazima inakuwa zimechezewa.

Yule bwana alikuwa dikteta kwa tafsiri yoyote ile.
Wewe huna akili, huwezi kuelewa nilichokiandika hapa.

Chuki za Magufuli kukufukua mtaro na akakunyima hela zipeleke huko.

Hizo facts ziko wazi hata waziri amezisema juzi wewe unaleta chuki zako za kijinga hapa.

Kua rais basi na wewe usiwe dikteta, yeye alikua dikteta, shida iko wapi. Wewe kama unaona alikua dikteta mimi naona hakua dikteta, kila mtu abakie na mtazamo wake, tusilazimishane mitazamo.

Toka lini Tanzania ilikua chini ya rais asie dikteta? Ama unajiongelea tu hapa kipumbavu.
 
Nimekuwa nikitafiti mwenendo wa performance wa shirika letu la umeme kwa muda mrefu, ila sikuweza kufanikiwa kupata takwimu kwa wakati. Nikimaanisha takwimu za kifedha za shirika letu hili. Nashukuru Mungu leo wameweka taarifa za kifedha na nimeweza kuendelea na utafiti wangu.





TANESCO YA UGANDA (UMEME)
Revenue growth between (2016 - 2020)
22.28%​
Total assets growth (2016 - 2020)
19.72%​




TANESCO YA TANZANIA
Revenue growth between (2016 - 2020)
13.38%​
Total assets growth (2016 - 2020)
42.90%​

Kwa faida ya wengi.
Kwanni mnalinganisha na miaka 5 iliyopita kwani TANESCO ilikuepo kwa miaka hiyo tu? Mbona hatuongelei kipindi cha unyonyaji wa kupindukia wa DOWANS, SYMBIONS, RICHMOND na IPTL.

Infact, TANESCO ilitoka kwenye kipindi cha unyonyaji na ilikua inaanza kurudi taratibu. Ndo maana mkakati wa kujenga Stieglers Gorge iliku ni sehemu ya kulifanya shirika hili lianze kutengeneza faida kubwa.

But sasa wapigaji wameingia katikati ya process wameanza kutoa hizo takwimu makusudi ili kuupotosha na kupata justification ya kufanya mambo yao. Anyway Time Will Tell!!
 
Hata kwa macho ya kawaida yasiyohitaji kuumiza kichwa..TANESCO ya mwendazake IMEOZA.

JMakamba ana mzigo mzito sana, akijichanganya na Siasa kwenye hii reformations anayotegemea kuifanya amekwenda na Maji.
Acha upuuzi wewe. Huyo Mwendazake aliipokea TANESCO ikiwa katika hali gani? Mbona hatukuona umeme ukikatika kama ilivyokua kipindi cha msoga? Mmeshasahau kina IPTL, SYMBION Walivyokua wanaiuzia TANESCO Umeme kwa gharama kubwa? Huyu mwendazake ndo akaja kuondoa huo upumbavu. Shwain wewe.
 
Mkuu, hii ni ngumu aisee. Hakuna mwananchi wa kawaida atayeweza kulipa tsh 600 kwa unit moja ya umeme! Na Znz haitakubali kuanza kulipia umeme sasa, hii pia itafanya bei ya umeme ipande zaidi.

Biashara ni kuuza kwa faida. Ngeleja alifikiria kufanya hivyo kwa kuligawa shirika vipande vitatu, UZALISHAJI, USAFIRISHAJI na USAMBAZAJI, kwamba serikali ibakiwe na Usafirishaji tu. Hoja ikawa, Uzalishaji na Usafirishaji wataweza kufanya biashara ya faida, mzigo utabaki kwa huyu msambazaji ambaye ukiachilia mbali wezi wa umeme, ataweza kusubiri malipo ya serikali yamachuwe? Kwamba watumie leo wakulipe baada ya mwaka mmoja? Yeye atapaswa kununua umeme kwa cash kutoka kwa wazalishaji ambao kwa wakati huo sasa ni kina Dowans, Symbion, IPTL, Richmond, Aggreko n.k kisha alipie usafirishaji kwa serikali mwenye hiyo miundombinu, lakini kwakuwa anamdai serikali, atafidia hapo, hivyo kampuni ya Usafirishaji umeme ya serikali itakumbwa na ukata, ishindwe kuhudumia miundombinu, kisha nini kitatokea?

SA na Escom yao sasa hivi ni majanga, kisa ni miundombinu inakufa kwakuwa serikali haiwezi kuihudumia, jamaa wana mgao siku hizi.
Kwenye bei regulator atabakia kuwa serikali,hapo serikali inataka wajiendeshe iache kuingilia kwenye management lakini haijawaambia wafanye upuuzi, EWURA iko pale pale.

Kama shirika linakula hasara serikali haiwezi kuliacha mbona ATCL wanakomaa nalo licha ya hasara ya Mabilioni..

Tanesco wanaweza pata faida kwa bongo kwa sababu Wana mtaji wa vyanzo vya umeme wa kutosha ,South kule umeme hata haitoshi.
 
Nimekuwa nikitafiti mwenendo wa performance wa shirika letu la umeme kwa muda mrefu, ila sikuweza kufanikiwa kupata takwimu kwa wakati. Nikimaanisha takwimu za kifedha za shirika letu hili. Nashukuru Mungu leo wameweka taarifa za kifedha na nimeweza kuendelea na utafiti wangu.

Ila kwa kweli ni kwamba hili shirika naweza kusema kabisa kwa performance kiduchu niliyoiona, nakubaliana kabisa na yeyote yule amabaye ana mtizamo wa kufanya mabadiliko kwenye shirika hili. Namba zinanuka zimeoza kabisa, kwa miaka mitano iliyopita hakuna performance yoyote ya kueleweka.

Ili tuweze kuelewa maana ya 'underperformance ya TANESCO, nimeamua kufananisha na shirika lingine la umeme la Uganda 'TANESCO ya UGANDA' ... yaani hii comparative analysis inaweza kukutoa machozi, na kuamini ni kwa jinsi gani watanzania tunakuwa wazembe kiasi hiki.

Siwezi kuandika naomba namba ziongee zaidi....

Ndo mana bado ntazidi kuamini ya kwamba nchi hii kuna mambo mengi sana tumepigwa mchanga wa macho.......

View attachment 1954796

Maelezo kwa faida ya wengi


Hii maana yake ni kwamba, Tanesco ya Tanzania wamerundika amana (assets) nyingi ambazo hazitengenezi mapato yoyote na hali imekuwa hivo ndani ya miaka mitano iliyopita. (Huu ni ukichaa wa aina yake) And mind you, hizi amana zimekuwa zikiongezwa kwa kutumia pesa za walipa kodi kwa sababu Tanesco ni mali ya serikali... Umewaza nini hapo???? Watanzania tumekuwa tukilipia hii inefficiency ya Tanesco for years.... Ni sawa sawa mtoto na kuwa unauza shamba ngombe zako kupeleka Ngombe shule... Thats it...




TANESCO YA UGANDA (UMEME)
Revenue growth between (2016 - 2020)
22.28%​
Total assets growth (2016 - 2020)
19.72%​




TANESCO YA TANZANIA
Revenue growth between (2016 - 2020)
13.38%​
Total assets growth (2016 - 2020)
42.90%​

Kwa faida ya wengi.
Analysis yako iko biased aidha kwa kutokuchimba sababu za hiyo dismay petfomance au una agernda nyingine ya kutaka shirika liporwe kwa gia cha ubinafsishaji.

Tangu miaka ya tisini TANESCO haijawahi kuwa na maamuzi yake yenyewe. Bodi na menejumenti inapokea maagizo tu ya nini ifanye tena toka kwa wanasiasa ambao hata utaalamu hawana. Mikataba yote ya kifisadi kuanzia ule wa IPTL hadi hii ya sasa ni anri toka nje ya shirika. Hata manunuzi kipi kinunuliwe na wakati gani na wapi vinaamuliwa toka. nje ya shirika halafu unalaumu shirika!

Rudi kafanye anakysis yako vizuri nani hasa aliyelifikisha shirika hapo lilipo.
 
Kwenye bei regulator atabakia kuwa serikali,hapo serikali inataka wajiendeshe iache kuingilia kwenye management lakini haijawaambia wafanye upuuzi, EWURA iko pale pale.

Kama shirika linakula hasara serikali haiwezi kuliacha mbona ATCL wanakomaa nalo licha ya hasara ya Mabilioni..

Tanesco wanaweza pata faida kwa bongo kwa sababu Wana mtaji wa vyanzo vya umeme wa kutosha ,South kule umeme hata haitoshi.
Hoja moja moja. Ewura wana regulate bei ya umeme kulingana na jinsi serikali inavyo subsidise bei ya unit. Sasa kama watu wapo kibiashara, serikali itaendelea ku-subsidise hiyo bei? Kwamba itaendelea kuweka ruzuku kule? Gharama halisi ya kuzalisha hiyo unit moja sio tsh 357. Sasa utazalisha unit moja kwa sh 500 halafu ukauze kwa 357? Ewura watabidi waone hali halisi kama ilivyo kwenye mafuta, wapo huko na watu wanapiga kelele bei ya mafuta, nini wanafanya?

ATCL? Wakina waziri waliliua shirika kwa makusudi ili Precision ifanye biashara.

Unafahamu SA wanatumia nyuklia kuzalisha umeme? Vyanzo vipi sasa hawana? Gesi za aina zote wanatumia wale jamaa.

Tanesco haiwezi kujiendesha kwa faida hata wakiwekwa wafanyabiashara bora kulisimamia shirika endapo halitapumzisha kutoka kwenye mifumo ya kiserikali ambapo itamaanisha mzigo wa kweli uende kwa mlaji.
 
Hoja moja moja. Ewura wana regulate bei ya umeme kulingana na jinsi serikali inavyo subsidise bei ya unit. Sasa kama watu wapo kibiashara, serikali itaendelea ku-subsidise hiyo bei? Kwamba itaendelea kuweka ruzuku kule? Gharama halisi ya kuzalisha hiyo unit moja sio tsh 357. Sasa utazalisha unit moja kwa sh 500 halafu ukauze kwa 357? Ewura watabidi waone hali halisi kama ilivyo kwenye mafuta, wapo huko na watu wanapiga kelele bei ya mafuta, nini wanafanya?

ATCL? Wakina waziri waliliua shirika kwa makusudi ili Precision ifanye biashara.

Unafahamu SA wanatumia nyuklia kuzalisha umeme? Vyanzo vipi sasa hawana? Gesi za aina zote wanatumia wale jamaa.

Tanesco haiwezi kujiendesha kwa faida hata wakiwekwa wafanyabiashara bora kulisimamia shirika endapo halitapumzisha kutoka kwenye mifumo ya kiserikali ambapo itamaanisha mzigo wa kweli uende kwa mlaji.
Ndio inatakiwa watu kuwa tayari sasa kukaa mkao wa kibiashara,kama nchi zingine Serikalini zao hazitoi rusuku na huku kwetu ruzuku sio lazima maana hata kwenye kilimo walishaachana na mambo ya ruzuku..

Ewura wanaregulate bei za maji,mafuta na umeme watafanya hivyo..kwani unit ikouzwa 375 Kuna tatizo?
 
Mabadiliko ni muhimu ila kuwaweka waliowekwa wenye dosari za kiutendaji kwenye rekodi zao kumepoteza maana ya mabadiliko aliyofanya.

Wapigaji hawakutakiwa kuingizwa kwenye hiyo menejimenti, haitakiwi urafiki uwe kigezo cha kuteua wajumbe, bali ni sifa na weledi wao kiutendaji, hili ni doa zaidi hata kwa waziri mwenyewe mwenye rekodi mbovu.
Nilimsikia January anasema haikuwa kazi rahisi kumpata MD wa Tanesco! Nilistaajabu kweli! Nikawaza MD anateuliwa na Rais huyu inakuwaje anasema hivi? Kumbe ye January ndiye kamtafuta banah na Bi mdasha kapelekewa jina tu kapitisha! MD wa sasa wa Tanesco qlishapiga maselfie kibao na Nape na isitoshe na washikaji kumbe na January....
 
Naunga mkono hoja , wafumuliwe wooote kabisa , kuanzia wale wa kwenye system ya LUKU, yaani kajamaa kanafanya kazi hakana hata mwaka mmoja kana ghorofa goba na kanaendesha Vogue , sio sawa TANESCO ni majizi , hili shirika likisimamiwa vizuri ni potential sana kwa nchi basi tu
 
Ewura wanaregulate bei za maji,mafuta na umeme watafanya hivyo..kwani unit ikouzwa 375 Kuna tatizo?
Hii 357 ambayo serikali ina mkono wake tu tayari ni mzigo, sasa ikiachwa halisi ambayo gharama za uzalishaji tu hazipungui 500, si utakuwa msiba kwetu kaka?
 
Unavyotoa changamoto na kasoro ni bora uwe na maoni nini kifanyike au ufumbuzi wake ni nini.

Nafikiria kama nia ni kuendesha TANESCO kibiashara basi miundombinu mingi inastahili kung'olewa kwani umeme umepelekwa vijijini kiasi ambacho kama ni mfanya biashara hawezi kupeleka umeme huko. Tukubaliane tu, shirika hili ni la kutoa huduma, kinachotakiwa ni kupunguza gharama zisizo muhimu, wizi na ufisadi. Kodi zetu ziendelee kuwasaidia mabibi na mababu zetu vijijini. Pia tukubali kwa upande mwingine TANESCO bado ipo katika investment prosess, yaani kujenga mabwawa, uzalishaji na usambazaji katika maeneo mbalimbali nchini.
Tunapiga kelele kwa vile tuko mijini nyuma ya kompyuta zetu lakini hatuwafikirii walioko vijijini.
 
Nimekuwa nikitafiti mwenendo wa performance wa shirika letu la umeme kwa muda mrefu, ila sikuweza kufanikiwa kupata takwimu kwa wakati. Nikimaanisha takwimu za kifedha za shirika letu hili. Nashukuru Mungu leo wameweka taarifa za kifedha na nimeweza kuendelea na utafiti wangu.

Ila kwa kweli ni kwamba hili shirika naweza kusema kabisa kwa performance kiduchu niliyoiona, nakubaliana kabisa na yeyote yule amabaye ana mtizamo wa kufanya mabadiliko kwenye shirika hili. Namba zinanuka zimeoza kabisa, kwa miaka mitano iliyopita hakuna performance yoyote ya kueleweka.

Ili tuweze kuelewa maana ya 'underperformance ya TANESCO, nimeamua kufananisha na shirika lingine la umeme la Uganda 'TANESCO ya UGANDA' ... yaani hii comparative analysis inaweza kukutoa machozi, na kuamini ni kwa jinsi gani watanzania tunakuwa wazembe kiasi hiki.

Siwezi kuandika naomba namba ziongee zaidi....

Ndo mana bado ntazidi kuamini ya kwamba nchi hii kuna mambo mengi sana tumepigwa mchanga wa macho.......

View attachment 1954796

Maelezo kwa faida ya wengi


Hii maana yake ni kwamba, Tanesco ya Tanzania wamerundika amana (assets) nyingi ambazo hazitengenezi mapato yoyote na hali imekuwa hivo ndani ya miaka mitano iliyopita. (Huu ni ukichaa wa aina yake) And mind you, hizi amana zimekuwa zikiongezwa kwa kutumia pesa za walipa kodi kwa sababu Tanesco ni mali ya serikali... Umewaza nini hapo???? Watanzania tumekuwa tukilipia hii inefficiency ya Tanesco for years.... Ni sawa sawa mtoto na kuwa unauza shamba ngombe zako kupeleka Ngombe shule... Thats it...




TANESCO YA UGANDA (UMEME)
Revenue growth between (2016 - 2020)
22.28%​
Total assets growth (2016 - 2020)
19.72%​




TANESCO YA TANZANIA
Revenue growth between (2016 - 2020)
13.38%​
Total assets growth (2016 - 2020)
42.90%​

Kwa faida ya wengi.
SI[emoji3][emoji84][emoji84][emoji972][emoji306]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom