Namba zinanuka: Naunga mkono TANESCO ifumuliwe, na ikiwezekana ibinafsishwe kabisa, Makamba yupo sahihi 100000%. TANESCO ni janga

Namba zinanuka: Naunga mkono TANESCO ifumuliwe, na ikiwezekana ibinafsishwe kabisa, Makamba yupo sahihi 100000%. TANESCO ni janga

Namkumbuka Magufuli kwa takwimu za 'kupika' tu.

Kupika takwimu na kuwaaminisha wananchi wako ni sifa ya mtawala anayependa kuabudiwa na kusifiwa. Hii ilikuwa kwa Shujaa tu.

Na ndio maana alikuwa hapendi kuchunguzwa (refer takwimu za CAG, na kilichomtokea Mdhibiti) katika taasisi zake.
Mwenzio kaweka takwimu ila wewe umeweka blah blah..
.
Inawezekana ukie m quote yuko sahihi kwamba labda unachukia sababu alikuchulia wife
 
Hata kwa macho ya kawaida yasiyohitaji kuumiza kichwa..TANESCO ya mwendazake IMEOZA.

JMakamba ana mzigo mzito sana, akijichanganya na Siasa kwenye hii reformations anayotegemea kuifanya amekwenda na Maji.
Simple ,
Kwa miaka mitano umeme haujawahi kukatika ,Makamba na Samioa, umeme unakatika kila siku.
Nani bigger brain?
Nani zero brain?
kwa nini wenzako aliweza?
 
Simple ,
Kwa miaka mitano umeme haujawahi kukatika ,Makamba na Samioa, umeme unakatika kila siku.
Nani bigger brain?
Nani zero brain?
kwa nini wenzako aliweza?
Kipindi Kalemani anatoa order mashine zirudi na kulikuwa na upungufu kwenye Grid zaidi ya 200MW kilikuwa kipindi cha nani?
Umeme kukatika haiepukiki as long as miundombinu ya TANESCO 99% ni overhead upande wa Distribution na Transmission.
Soma Engineering uelewe.
 
Kipindi Kalemani anatoa order mashine zirudi na kulikuwa na upungufu kwenye Grid zaidi ya 200MW kilikuwa kipindi cha nani?
Umeme kukatika haiepukiki as long as miundombinu ya TANESCO 99% ni overhead upande wa Distribution na Transmission.
Soma Engineering uelewe.
Hapo hujaonyesha big brain.
Big brain umeme haukatwi katwj.
 
1. Form za maombi ya kuunganishiwa umeme ziliondolewa tukashangilia

2. Service charge ziliondolewa tukashangilia.

3. Service line cost zilishushwa mpaka Tsh 320,900/= kwa single phase ndani ya mita 30 tukashangilia.

4. Service line cost zimeshushwa mpaka Tsh 27,000/= kwa wateja walio na umbali mpaka mita 120 tukashangilia.

5.Gharama za uzalishaji kila siku zinapanda

Kutokana na hayo hapo juu mnategemea TANESCO ifanye vizuri?

Tunapenda vitu cheap na ndio maana matatizo ni mengi.
Ongezea kuwa Gharama ya mita kutoka kwa supplier wa TANESCO ni Tshs. 168,000/=, waya mita Moja ni elfu 23 ukipiga kuunganisha umeme kwa mtu asie na nguzo ni Tshs. 290,000/= leo hii unaunganisha umeme kwa Tshs. 27,000/= tena kwa Mtu anayetaka kukaa kwenye Tarrif D1 ili anunue unit Moja kwa Tshs.100 sasa unategemea investment returns itakuja na hapa hauoni kama TANESCO Inapata hasara.

Vile vile Service charge,ni gharama ambazo zinachajiwa na nchi zote duniani kasoro Tz tu.

Acheni maneno wafanyakazi wa TANESCO wanajitahidi aisee.

Ukiangalia Dar es salaam njia za usambazaji umeme peke yake ni Kilometres elfu 36 na bado umeme ukikatika wanafuatalilia tatizo na kutatua.
 
Matumizi na mapato kulingana, ni either haukusanyi vizuri mapato au unatumia vibaya unachopata.
Kwa issue ya Tanesco ni kwamba hawakusanyi vizuri, ilipaswa wakusanye zaidi ya hiyo 1.8T. bado Hadi leo Kuna taasisi nyingi za serikali zinatumia umeme bure.
Fikiria tu Zanzibar umeme wao unatoka bara, Ila wanachokusanya kinabaki hukohuko.
Kuna mwaka jiwe alikuja na amri ya KATA, Yani kwa kila wanaodaiwa wakatiwe umeme. Uliibuka mgogoro mkubwa sana Kati ya Zanzibar na jiwe. Shein hakupenda Hilo suala.
Hivyo tulikosea tokea zamani, kutoka hapa tulipo sio kazi ndogo. Maana kuwaambia wote wanaodaiwa walipe na zile taasisi ambazo hazilipi umeme zianze kulipa sio kazi ndogo.
Hahaha sasa unasema haikusanyi mapato vizuri afu unawadai ZANZIBAR,UNAWADAI JWTZ,UNAWADAI HOSPITAL YA TAIFA YA MUHIMBILI NA HOSPITAL ZOTE,UNADAI MAHAKAMA,UNADAI WIZARA ZOTE,UNADAI TAASISI ZOTE ZA MAJI,UNADAI MAGEREZA NA POLISI. sasa unashauri wakakate umeme ili walipwe mapato my dear the moment wakifanya hivyo hao waliofanya hawatakuwa na ajira
 
Kwenye viongozi wote wa Tanesco ambao ni mainjinia ukose mmoja wa kumpandisha awe CEO?!! Huu uteuzi mzima umebebwa na ile hoja ya mimi kama Waziri sitaki kupigiwa simu kuna nguzo imeanguka Kigamboni. Mfumo wa kidigitali kugundua fault ilipo ambao inawezekana Tanesco wataununua. Wala usishangae wakina maxmanini wakipewa tena kandarasi za kutuuzia LUKU.
Mzee umeme ukikatika technojia hiyo ya kugundua tatizo lipo wapi sio level za tanesco aisee maana hii inahitaji uwekezaji mkubwa na hapa unazungumzia kilomtres za mfumo wa usambazaji wa umeme sasa kama Dar pekee ina km 36 elfu huo mfumo kwa nchi zima unakuwaje maana hapo ni kwa line za 11kv, 33kv na 66kv. Hahaha hizo ni doto bro
 
Mimi nijibu 'Heading' tu ya mada yako.

Kwa vile kwa upande wako unaona kila kitu kinastahili "kubinafsishwa" kwamba ndiyo dawa ya kila tatizo uliwazalo; mimi nakusihi tokea leo achana na hivi vishirika uchwara vya TANESCO.
Nakusihi na kukutia mori kabisa "TUBINAFSISHE"SEHEMU INAYOTAKIWA KUBINAFSISHWA HASA: Binafsisha Liserikali lenyewe kabisa; kwani huko ndiko penye matatizo, na kwa maoni yangu, ndiko yanakoanzia matatizo ya mashirika kama TANESCO.

Sijui wewe mwenzangu unasemaje!

Nimekuwa nikitafiti mwenendo wa performance wa shirika letu la umeme kwa muda mrefu, ila sikuweza kufanikiwa kupata takwimu kwa wakati. Nikimaanisha takwimu za kifedha za shirika letu hili. Nashukuru Mungu leo wameweka taarifa za kifedha na nimeweza kuendelea na utafiti wangu.

Nitashangaa sana kama hutaunga mkono wazo hili.
 
Shirika lina wa endeshaji wazembe kwel kweli
Kwa mfano nimetoa ripoti ya mwizi wa umeme/muhujumu uchumi lakini hawa watu hawana hata ushirikiano nadhani kwa sasa ni kama miaka 3 lakini mwizi anajinafasi zaidi hata miaka isiyo pungua misaba (7), mwisho wa siku utasikio oooh shirika linaendeshwa kwa hasara, nonsense kabisa . Kuna vitu vina kera hapa bongo[emoji34]
 
Niliongea hichi kitu zaidi ya mwaka mmoja uliopita. Tatizo tunaloliona kwa sasa la mgao wa umeme ni Inefficiency ya shirika la umeme kwenye kuzalisha umeme.

Shirika lina assets nyingi sana ambazo hazipo productive.
 
Back
Top Bottom