cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Bado bana..huoni hana kitu kidoleni. [emoji23]Itakuwa ni maajabu ya karne kama huyo dada yupo Single hadi sasa
sidhani aisee mtoto mkali kama huyo akose jamaa wa kuwa naeBado bana..huoni hana kitu kidoleni. [emoji23]
Vizuri vimegaramiwa Mkuu tafuta tu mwingine huyo tayari ninaye[emoji5] [emoji5] [emoji5]Wataalamu wanasema ukikaa na jambo moyoni bila kulisema linaweza kukuletea madhara hivyo natanguliza kumuomba radhi mlengwa kiukweli nampenda sana napenda awe mwenza wangu japokuwa najua ni ngumu sana kutokana na maisha yangu. IIa nimetoa ya moyoni pia naomba mchango wenu wa mawazo nini nifanye ili niweze kuwa naye.View attachment 582615
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Vizuri vimegaramiwa Mkuu tafuta tu mwingine huyo tayari ninaye[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Ndio dunia nikama bakuri lkn moyo wang upo kwa julieth RobertDunia bakuri pakua unachoweza mkuu.
Sidhani kama nimeonyesha udhaifu ila nimekuwa mkweli tuUmeanza kwa kuonyesha udhaifu, umepunguza sifa kubwa ya MWANAUME.
Kitu muhimu ni uwe na 'NGUVU ZA KIUME'(siyo zile za kunyanyua vyuma au kula supu ya pweza) ukiwa nazo hizo huna haja ya kuja hata kusema hapa.......akisoma mumala mara 2,3, mwenyewe ataomba appointment nawe na hapo itakuwa ni juu yako utakavyopenda kutii kiu yako...hila nasisitiza NGUVU ZA KIUME ni muhimu sana kwa viumbe hawa!Wataalamu wanasema ukikaa na jambo moyoni bila kulisema linaweza kukuletea madhara hivyo natanguliza kumuomba radhi mlengwa kiukweli nampenda sana napenda awe mwenza wangu japokuwa najua ni ngumu sana kutokana na maisha yangu. IIa nimetoa ya moyoni pia naomba mchango wenu wa mawazo nini nifanye ili niweze kuwa naye.View attachment 582615
Sent using Jamii Forums mobile app