Namependa sana mrembo Julieth Robert wa ITV

Namependa sana mrembo Julieth Robert wa ITV

Kitu muhimu ni uwe na 'NGUVU ZA KIUME'(siyo zile za kunyanyua vyuma au kula supu ya pweza) ukiwa nazo hizo huna haja ya kuja hata kusema hapa.......akisoma mumala mara 2,3, mwenyewe ataomba appointment nawe na hapo itakuwa ni juu yako utakavyopenda kutii kiu yako...hila nasisitiza NGUVU ZA KIUME ni muhimu sana kwa viumbe hawa!
yeah hapo cha msingi awe tu na nguvu za kiume za kutosha
 
Mimi naomba umfuate hapo ITV sio mbali kama wewe nawe Ni mwanaume Wa dar ka mm!!!

DJ sepetu
 
sidhani aisee mtoto mkali kama huyo akose jamaa wa kuwa nae
Kwani dunia ya siku hizi kuna watu wako single?

Cha muhimu ni kuangalia kama amefunga ndoa halali au la!

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Wataalamu wanasema ukikaa na jambo moyoni bila kulisema linaweza kukuletea madhara hivyo natanguliza kumuomba radhi mlengwa kiukweli nampenda sana napenda awe mwenza wangu japokuwa najua ni ngumu sana kutokana na maisha yangu. IIa nimetoa ya moyoni pia naomba mchango wenu wa mawazo nini nifanye ili niweze kuwa naye.View attachment 582615

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu na hongera kwa kutumia njia hii kuwasilisha ya moyoni mwako!
Kosa tu ni moja,HUKUJIAMINI KAMA MWANAUME!
Siku zote mwanaume ndio mfalme wa pori(simba)na ndio maana mwanamke hawezi ishi bila mfalme!so ujasiri na juhudi zako ndio mtaji wako.Unaweza kumpata mwanamke yoyote ukiwa na huo mtaji!
 
Pole sana mkuu na hongera kwa kutumia njia hii kuwasilisha ya moyoni mwako!
Kosa tu ni moja,HUKUJIAMINI KAMA MWANAUME!
Siku zote mwanaume ndio mfalme wa pori(simba)na ndio maana mwanamke hawezi ishi bila mfalme!so ujasiri na juhudi zako ndio mtaji wako.Unaweza kumpata mwanamke yoyote ukiwa na huo mtaji!
Asante sana ndugu kwa ushauri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom