Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.

Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.

Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
 
Kafanya nn?
20240819_071634.jpg
 
Maamuzi ya Kamanda.
 

Attachments

  • 20240819_080535.jpg
    20240819_080535.jpg
    138.9 KB · Views: 5
  • 20240819_080521.jpg
    20240819_080521.jpg
    114.1 KB · Views: 5
Kah! kwahiyo anayejiuza inaruhusiwa kubakwa? kwahiyo ile video wameichakachua? huyo mama si ndo anajifanyaga anaijua vifungu vya biblia sana
Usikute washakaa vikao na binti/ ndugu zake na kulimaliza kwa vipande vya fedha
 
Sasa kwanini walikuwa wanamtishia na kumlazimisha kumuomba Afande radhi?
Hilo nalo ni la kujiuliza......ila angalia umakini aliokuwa nao yule dada yaani bidii zote alikuwa nazo kinyume na mtu anayeshurutishwa anatakiwa kuwa katika hali kama ile
 
Back
Top Bottom