milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Sasa ninamsaka dada yake Abdul nifanye kweliAkilawitiwa mwanaye hapo ndipo utaona sheria zetu zilivyo Kali. Sheria zetu zinawaogopa wenye vyeo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ninamsaka dada yake Abdul nifanye kweliAkilawitiwa mwanaye hapo ndipo utaona sheria zetu zilivyo Kali. Sheria zetu zinawaogopa wenye vyeo,
Naunga mkono hoja ila rekebisha badala ya D weka T.Madako yako unaongea kama unaharisha
Kwani dada yangu ye anatofauti gani na huyo dada .....kwamba kuwa dada yangu ndo ingeninyima kufikiria tukio limefanyika katika mazingira gani......usilete akili za kijamaajamaa hapahivi unajua mazingira ya kutekwa wewe? ulitaka akaze ili wamuue au wampasue!? angekuwa mwanao au dada yakoel usingekuja kuandika haya qumamako
Mshenzi mkubwa huyu. Kwa hyo kama anajiuza ndo wamfanye mande?wamteke?wamlawiti??wamrekodi?wasambaze picha?ana akili kweli huyu?.
Sawa anajiuza ni kahaba. Je alilipwa shilingi ngapi?.
Walikubaliana?
Huyu mama kichwa chake kimejaa funza
Na Dr Dorothy Gwajima, waziri wa Jinsia ni mwanamke pia.Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani🥱
Na waziri wa afya , felister mhagama pia ni mwanamke!Na Dr Dorothy Gwajima, waziri wa Jinsia ni mwanamke pia.
Kama au anaharisha huku anajamba mashuzi tuMadako yako unaongea kama unaharisha
Hata mimi sielewi tungoje wenye akili watatuelewesha ama tutafute habari kamiliNini kimetokea kwani?
Hawa ndiyo wanapata vyeo kwa kuvuliwa chupiKila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.
Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.
Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
Hakika,hakunaHakuna polisi wa maana hata mmoja Tanzania usidanganywe hata Benjamini Kuzanga wa Mbeya ni maigizo tupu
Nakuunga mkonoNi bora mimi sijuagi cha kanisa wala misikiti
Yote ni hovyo tupuHakika,hakuna
NakaziaNini kimetokea kwani?
Huyu Afande ningekuwa na mamlaka angeamka asubuhi ajikute ni kama ameingia jeshini jana. Ningesafisha mabega yake asingeamini.[/Huyu Afande ningekuwa na mamlaka angeamka asubuhi ajikute ni kama ameingia jeshini jana. Ningesafisha mabega yake asingeamini.
Mh Kaka hata siku ukawa na hayo mamlaka tafadhali usifanye kitu Cha namna hiyo ,hakuna kitu linauma kwa watu wa vyombo vya usalama Kama hiko na itoshe kusema unaweza kusababisha hata kifo kwa mtu kujiuwa ,isikie tu hiyo adhabu Ila omba isikukute .
DuuhKila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.
Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.
Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
We ni mwanaye nini?Sasa huyu mama amekosa Nini hapa?
Kila mtu si msafi hata Mimi , hata wewe, hata yule. Sa kwanini unamrushia tope zito hivi. Yule mama ni mtetezi wa kwelikweli wa wanyonge hasa wazee ,wawake ,na watoto. Ukiwa na shida unampigia bila shida anakusikiliza.
Nb.
Je ulitaka aje na tamko litakalokufurahisha?