Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Wewe angalia tu hata hile ishu ya kina tundu lisu, mbilinyi kupigwa na polisi na hakuna kosa lolote la jinai kisa mikusanyiko tu, yani jeshi la polisi sio la kukimbilia, ogopa sana taasisi zenye mamlaka fulani ya kusimamia kisheria huwa zina mabavu, rushwa, sub standard, yani its a corrupt system hutoboi ukisimamia haki
Utaishia kupotezewa muda tu haki hakuna, uonevu unazidi kushamiri kila uchwao na hawachukui hatua yeyote kudhibiti hali hiyo. Sijui tunaelekea wapi kama taifa.
 
Utaishia kupotezewa muda tu haki hakuna, uonevu unazidi kushamiri kila uchwao na hawachukui hatua yeyote kudhibiti hali hiyo. Sijui tunaelekea wapi kama taifa.
Kuna jamaa mmoja hivi ni in charge kituo fulani hivi, alipewa ishu ya kunizingua jamaa kapiga simu akiniambia ananihitaji kituo cha polisi kuna tuhuma zangu za kujibu nikashangaa tuhuma zipoli hizo, basi nikagoma kuitikia wito jamaa ikabidi anitafute popote nilipo sio kaizni sio nyumbani ili tu anitie adabu, nilimpelekea moto hakuamini nginja nginja mpaka akaomba samahani, lakini hapo ni baada ya kunidhalilisha sana
 
Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia
Nadhani watanzania sisi ni wepesi sana wa kuhukumu. Huyo mwandishi wa habari aliyemuhoji angetuwekea clip ya mazungumzo yao maana wakati mwingine waandishi wetu wa habari hawana weledi wanauliza maswali ili wapate majibu wanayotaka wao. Pengine huyo Afande hakuzungumza ama hakumaanisha kilichoripotiwa.
Kimsingi mimi siwaamini waandishi wa habari wa nyakati hizi.
 
Kuna jamaa mmoja hivi ni in charge kituo fulani hivi, alipewa ishu ya kunizingua jamaa kapiga simu akiniambia ananihitaji kituo cha polisi kuna tuhuma zangu za kujibu nikashangaa tuhuma zipoli hizo, basi nikagoma kuitikia wito jamaa ikabidi anitafute popote nilipo sio kaizni sio nyumbani ili tu anitie adabu, nilimpelekea moto hakuamini nginja nginja mpaka akaomba samahani, lakini hapo ni baada ya kunidhalilisha sana
Tatizo lao hao wanatumika sana na wakubwa na wenye pesa. Mimi huwa sitaki ukaribu kabisa na hao jamaa maana hawafai.
 
Mimi nilivyomuona alivyo mtu wa kila siku kupostiwa kwenye media nikajua tu hamna mtu hapo
 
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani🥱
20240819_170809.jpg
 
Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.

Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.

Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
Kwani kafanya nini?
 
yaani wiki sasa tunajadili mtu aliyefurw hivi mbona tumekuwa wapuuzi hivi, wacheni jeshi la polisi lifanyekazi zake, wao ndio wako na wahanga na watuhumiwa ndo wako na licha halisi, kwa altituxe hii umasikini kamwe hautaisha
 
Back
Top Bottom