Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ eti utakatifu wa kupaka๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Sasa huyu mama amekosa Nini hapa?
Kila mtu si msafi hata Mimi , hata wewe, hata yule. Sa kwanini unamrushia tope zito hivi. Yule mama ni mtetezi wa kwelikweli wa wanyonge hasa wazee ,wawake ,na watoto. Ukiwa na shida unampigia bila shida anakusikiliza.
Nb.
Je ulitaka aje na tamko litakalokufurahisha?
Unashida ktk kufikiri
 
Yuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Hovyo kabisa wewe, watanzania tutasimama na yule dada hadi haki yake ipatikane and nakuhakikishia kwa jinsi watu wanavyolifuatilia hili swala yoyote atakayejaribu kutetea ule ushenzi au kuvuruga ushahidi hata raisi hatokubali ataliwa kichwa tena faster
 
Sawa ila huo ni mtizamo wangu......na naongezea yule dada alikuwa kahiyari mwenyewe na inaonekana ilikuwa ni planned video clip
Hata mimi hadi leo nahisi ni kitu ilipangwa. Ila tu ni propaganda kuzima ishu gani hapo ndo bado sijang'amua.
 
Hovyo kabisa wewe, watanzania tutasimama na yule dada hadi haki yake ipatikane and nakuhakikishia kwa jinsi watu wanavyolifuatilia hili swala yoyote atakayejaribu kutetea ule ushenzi au kuvuruga ushahidi hata raisi hatokubali ataliwa kichwa tena faster
Mkuu upo unaota mchana na jua lote hili.....eti watanzania๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃwatanzania wa wapi???? Hawa hawa mazwazwa yasiyohoji yenyewe kila kitu sawa tu....
 
Sasa huyu mama amekosa Nini hapa?
Kila mtu si msafi hata Mimi , hata wewe, hata yule. Sa kwanini unamrushia tope zito hivi. Yule mama ni mtetezi wa kwelikweli wa wanyonge hasa wazee ,wawake ,na watoto. Ukiwa na shida unampigia bila shida anakusikiliza.
Nb.
Je ulitaka aje na tamko litakalokufurahisha?
Dunia hii....

#Kila mtu ANASTAHILI heshima ya KUTAMBULIWA na KUTHAMINIWA UTU wake....

#Utu
 
Anatakiwa naye atafutiwe vijana kama wale na mwezake FATMa

Nao,wabokoleweeee na waombe msamaha...harafu tuje nao tuwambie mlikuwa mnajiuza
 
Huyo RPC ndiyo kielelezo sahihi cha walivyo hawa tuliowapa jukumu la kulinda raia na mali zetu.

Nashukuru sana Mungu kwa kutokuwa na ndugu kwenye ukoo wetu aliyepo huko kwenye hilo genge la waovu wenye sare.
Mama kajaza matope kichwani.kesi haijafika mahakamani unatoa suluhisho kuwa wavute bangi na malaya 1.alijuaje kama ni wavuta bangi?
 
Kah! kwahiyo anayejiuza inaruhusiwa kubakwa? kwahiyo ile video wameichakachua? huyo mama si ndo anajifanyaga anaijua vifungu vya biblia sana
Kweli polisi ni polisi tu.. ukimwangalia tu usoni unauona unafiki wa wazi kabisa.
 
Usikute washakaa vikao na binti/ ndugu zake na kulimaliza kwa vipande vya fedha

Kama ulikuwapo, ndio maana haraka sana walizuia waandishi kumhoji, ili waweze ku control the narrative. Sasa huyu anajua jalada liko tayari anatoa tamko kuuandaa umma kuwa alikuwa malaya. anasahau kuwa video ilikuwa na sauti na kila kitu kilikuwa wazi. kifupi hapa wanajaribu kumlinda askari mwenzao aliowatuma wale vijana.
 
Kabisa kuna mambo yanaendelea yanalivua nguo jeshi la polisi. Tatzo ni mfumo
Wewe angalia tu hata hile ishu ya kina tundu lisu, mbilinyi kupigwa na polisi na hakuna kosa lolote la jinai kisa mikusanyiko tu, yani jeshi la polisi sio la kukimbilia, ogopa sana taasisi zenye mamlaka fulani ya kusimamia kisheria huwa zina mabavu, rushwa, sub standard, yani its a corrupt system hutoboi ukisimamia haki
 
Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.

Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.

Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
Ni vigumu kwa Polisi kuanzia IGP wao hadi polisi wa mwisho kuuona ufalme wa Mungu, kwakuwa tayari Bwana Yesu alisha wajua na akawaonya

Luka 3:14 BHN​

Shirikisha
BHNSUVNenoSRUV
Nao askari wakamwuliza, โ€œNa sisi tufanye nini?โ€ Naye akawajibu, โ€œMsichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.โ€
 
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani๐Ÿฅฑ
Umesahau aliyetuma wamfanyie ukatili pia ni Mwanamke... Ila waliotekeleza ukatili ndio Wanaume.
 
Back
Top Bottom