King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kitengo cha mawasiliano GESHI la POLISH lifumuliwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila huo ni mtizamo wangu......na naongezea yule dada alikuwa kahiyari mwenyewe na inaonekana ilikuwa ni planned video clipMadako yako unaongea kama unaharisha
Sasa kosa lipo kwenye umakini na bidii ama kwenye tukio lile la kinyama, kauli za wahusika?Hilo nalo ni la kujiuliza......ila angalia umakini aliokuwa nao yule dada yaani bidii zote alikuwa nazo kinyume na mtu anayeshurutishwa anatakiwa kuwa katika hali kama ile
Cc MwambucusiMawakili karibuni sana kwenye uwanja wa utetezi!
Ndio huyu??Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI".
Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.
Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.
Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
Mawakili wengi akili zao zimekariri migogoro ya Aridhi tu,huko kwenye haki za kibinaadamu utawakuta Mawakili wachache sana kulinganisha na kule!!Mawakili karibuni sana kwenye uwanja wa utetezi!
Na vile vitisho vya kupigwa na chupa za bia wwe hukuliona hilo!? Wwe umeaangalia upande wa utamu tu!!??Yuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Usikariri watu hawafanani kwa kila kitu!!Hilo nalo ni la kujiuliza......ila angalia umakini aliokuwa nao yule dada yaani bidii zote alikuwa nazo kinyume na mtu anayeshurutishwa anatakiwa kuwa katika hali kama ile
hivi unajua mazingira ya kutekwa wewe? ulitaka akaze ili wamuue au wampasue!? angekuwa mwanao au dada yakoel usingekuja kuandika haya qumamakoYuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI".
Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.
Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.
Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.
Kumbe sio kosa kumbaka na kumlawiti kahaba? Rpc Dodoma upo serious?Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani🥱
Mi huwa najiuulizaga hivi kwa nini wahalifu huwa hawakosi watetezi,hata wa ku force!!??hivi unajua mazingira ya kutekwa wewe? ulitaka akaze ili wamuue au wampasue!? angekuwa mwanao au dada yakoel usingekuja kuandika haya qumamako