Namhesabu anaepewa mtoto kuwa ni mwenye bahati kuliko wote duniani!

Namhesabu anaepewa mtoto kuwa ni mwenye bahati kuliko wote duniani!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
1. watu wanahangaika kutafuta watoto kwa gharama kubwa mno..........

2. watu wanafikia hatua ya kuiba watoto mahospitalini na mitaani na kukimbia nao ili wakawe na furaha....

3. watu wanafikia hatua ya kuweka matambara ili waonekane wana mimba, ukifika muda anaibwa mtoto mahali na kuwa wake....mpango huo unakuwa wa mume na mke.

4. watu wanafikia hatua ya kugombea mtoto hadi mahakamani..........n.k.


katikati ya hayo yote, mtu flani mahali flani, kwa ujanja wa hali ya juu, anapelekewa mimba isiyo yake na inakuwa yake na kujipatia bonge la mtoto kiulaiiini kama hivyo. am i insane nimwite mtu huyu 'bwege'?!!! kwangu huyu ana bahati kuliko wote!!!

nawasilisha
 
1. watu wanahangaika kutafuta watoto kwa gharama kubwa mno..........

2. watu wanafikia hatua ya kuiba watoto mahospitalini na mitaani na kukimbia nao ili wakawe na furaha....

3. watu wanafikia hatua ya kuweka matambara ili waonekane wana mimba, ukifika muda anaibwa mtoto mahali na kuwa wake....mpango huo unakuwa wa mume na mke.

4. watu wanafikia hatua ya kugombea mtoto hadi mahakamani..........n.k.


katikati ya hayo yote, mtu flani mahali flani, kwa ujanja wa hali ya juu, anapelekewa mimba isiyo yake na inakuwa yake na kujipatia bonge la mtoto kiulaiiini kama hivyo. am i insane nimwite mtu huyu 'bwege'?!!! kwangu huyu ana bahati kuliko wote!!!

nawasilisha
Safi sana Maada yako imesomeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Everything Is Blessing it Depend how we Count it?
some where woman rapped ends with pregnant but she thanks so much rapper because his man 5years of marriages he don't!

Learn how to count Blessing and be grateful.
sure
 
Everything Is Blessing it Depend how we Count it?
some where woman rapped ends with pregnant but she thanks so much rapper because his man 5years of marriages he don't!

Learn how to count Blessing and be grateful.
Kweli aisee kila kitu inategemea na mtu unaangaliaje / unachukuliaje
 
Sijajua kwa nn nimekoment hapa mana mada za watt sizipendi tena
Ila kwa mimi sijakata tamaa ila nimeshakubali kwamba uwezo wa kuzaa ni mdogo hivyo Mungu akijaalia sawa asipojaalia sawa
Kuna wengine hawaoni kama ni zawadi/baraka
Ndio mana wanawatelekeza /kuwaua/na hata kuwatupa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijajua kwa nn nimekoment hapa mana mada za watt sizipendi tena
Ila kwa mimi sijakata tamaa ila nimeshakubali kwamba uwezo wa kuzaa ni mdogo hivyo Mungu akijaalia sawa asipojaalia sawa
Kuna wengine hawaoni kama ni zawadi/baraka
Ndio mana wanawatelekeza /kuwaua/na hata kuwatupa

Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuelewa sana hapo.....Muumba atajalia, vuta subira!
 
Back
Top Bottom