Kila Pete hubeba maana yake,Sawa mkuu , tutaendelea kuvaa magome ya miti na shanga za plastik , dhahabu na fedha ni za wazungu , waarabu, wahindi na wachina,
Yeye nae si mtumishi na cheo cha imani yake , kwanini muogope pete yake.Siyo za hivyo,
Lkn pia za maaskofu zina maana yake,vipi hii inamaana gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yakwake ndio haina maana ?Kila Pete hubeba maana yake,
Pete ya ndoa
Pete ya bahati na majini
Pete ya ahadi na viapo
Pete ya urembo
Nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Pete yake labda ipo hapo kweny , Nk nk , mnaogopa nini ?Kila Pete hubeba maana yake,
Pete ya ndoa
Pete ya bahati na majini
Pete ya ahadi na viapo
Pete ya urembo
Nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena izo huwa wanabusu watu kibao bila hata kuhofia afya zaoMaaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?
Ehe tueleweshe mkuu , watu wanaogopa pete.Tena izo huwa wanabusu watu kibao bila hata kuhofia afya zao
[emoji23][emoji23]ili awe kama kirungu cha kipepe eti... acha basi
Amina.Vp mkuu mbn kama unamshukuru Yesu amelipa kisasi ulichosubir mda mrefu
Konyagi za manzese ndiyo zinamnyonyoa nyweleNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
😃😃Dramatic entrance mkifumbua tu macho unamuona kashushwa toka mbinguniMi huyu mzee amenipa maswali mengi bila majibu.
Hizo Pete ni za nini?
Kwanini miaka ile nliwahi kwenda kanisani kwake wahudumu wako standby wakimfosi kila alieacha macho wazi afumbe wakati wa kuabudu na ndo mda huo huo huyu mzee anaingilia kule mbele ya madhabahu. shida nini?na nliwahi ona wengine wanalalamikia hili.
Pili alikua ana kitaulo maalum pale kwenye altar mpaka maneno ya waumini yakazidi akaanza kujitetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisukari?Si pombe ni kale kaugonjwa
Cheo kipi?Yeye nae si mtumishi na cheo cha imani yake , kwanini muogope pete yake.
Ndo tuambie maana yake,Sasa yakwake ndio haina maana ?
So unataka wote tuwe kama wewe tusiamini watumishi?Yesu Kristo na mitume 12
Jr[emoji769]
Muulize yeye mwenye imani yake ? Na mwenye pete yake ? Cha kuogopa nini?
Muulize yeye, adress yake unaijua , nenda kanisani kwake atakuambia ? Unaogopa kivuli?Ndo tuambie maana yake,
Tunavyojua wachunhaji huvaa Pete za ndoa
Siyo hizo za aina hiyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Maaskofu na Papa pia wanatinga.Pete za Bahati? (majini)Maaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?
We aliekuambia ya Lusekelo ni ya majini au ya bahati nani ? Na kama anavaa kweli mnaiogopea nini? amavunja wapi sheria ya nchi ?Maaskofu na Papa pia wanatinga.Pete za Bahati? (majini)