Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Kwa hiyo ikitokea breaking news kanisa linakuwa la nani na waumini wanaenda kwa nani?
 
😃😃Dramatic entrance mkifumbua tu macho unamuona kashushwa toka mbinguni
 
Maaskofu na Papa pia wanatinga.Pete za Bahati? (majini)
We aliekuambia ya Lusekelo ni ya majini au ya bahati nani ? Na kama anavaa kweli mnaiogopea nini? amavunja wapi sheria ya nchi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…