Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Skandali nyingine mbaya niliyoipata toka kwa shemeji yenu ni kwamba huyu mtumishi alikuwa na appointment na dada mmoja mzuri na hela zake na pia ana usafiri. Baada ya soda mbili 3 yule dada hakujua kilichoendelea, ila alipozinduka alikuta yuko chumbani na sehemu nyeti zimechafuka sana na mtumishi hayupo kesha ondoka. Wamekataa kunitajia jina ka huyo dada nimfahamu huenda ni mtu wa karibu.

Kinachonishangaza mimi pamoja na kuona ile clip aliyolewa akitukanana na jirani yake ni kwamba jamaa yangu tumeoa sehemu moja alisota miaka kibao hapati mtoto, wakaenda kwa huyu mtumishi wakapata mtoto ila ana matatizo. Haya mambo yanishangaza sana. Sijui wana mbinu gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto ana matatizo gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Skandali nyingine mbaya niliyoipata toka kwa shemeji yenu ni kwamba huyu mtumishi alikuwa na appointment na dada mmoja mzuri na hela zake na pia ana usafiri. Baada ya soda mbili 3 yule dada hakujua kilichoendelea, ila alipozinduka alikuta yuko chumbani na sehemu nyeti zimechafuka sana na mtumishi hayupo kesha ondoka. Wamekataa kunitajia jina ka huyo dada nimfahamu huenda ni mtu wa karibu.

Kinachonishangaza mimi pamoja na kuona ile clip aliyolewa akitukanana na jirani yake ni kwamba jamaa yangu tumeoa sehemu moja alisota miaka kibao hapati mtoto, wakaenda kwa huyu mtumishi wakapata mtoto ila ana matatizo. Haya mambo yanishangaza sana. Sijui wana mbinu gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa upako alizichafua nyeti akasepa zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dooooooh upako kwishnee... mdomo wake ulijaa maneno ya kejeli kejeli anasema "hapa kwangu sina kimeo hata kimoja zote hizi gari kalii" mimi mtu wa perfume kaliii Mungu anisamehe" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... utaskia "nitatongoza wake za watu wangapi...wivu tuuu.. waume zao wakiniona nilivyo wanajua wake zao hawawezi kunikataaa"... "umeona hizi nywele zangu.. sipaki dawa mimi hizi ni natural"
Umefukua dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshauri afanye kama Mchungaji maarufu sana wa jijini Mwanza maeneo ya Kangai maarufu kama BABA GOD, yeye baada ya afya yake kuwa kama ya huyo Lusekero alipotea kabisa hadi leo hii hajulikani alipo....waumini wake ukiwauliza wanasema alienda KUZIMU, kumbe yupo sehemu anajiuguza na ARV...ila habari za ndani zinasema alishatangulia mbele ya haki, wiki ijayo nitaanzisha uzi hapa wa Baba Godi
Unakusanya information

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom