Jason Statham2
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 694
- 1,013
Konyagilism effect
ENDELEENI KUROPOKA KAMA KASUKUMbona sie kitaa twaipiga konyagi asubuhi tena na maandazi ya mama Dula na tupo fresh? Labda kakosea "Masharti" au muda wa upako ndo ume expire... So sad kwa wale wote waumini wa mahubiri ya mwendo kasi.
nyagi ndo nini?Pombe mikasi na nyagi
Jr[emoji769]
zile ambazo mzee baba alipokuwa mtwara kaagiza zipimwe ili zihalalishwe?Konyagi za manzese ndiyo zinamnyonyoa nywele
Ameshindwa kujiombea kweli ?Mchungaji Lusekelo ana Kisukari, nakumbuka amewahi kulisema hili kanisani.
Pole kwake, ni busara kuandaa mrithi wa wale kondoo wake!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe inakuuma nini na pete zake acha uzwazwaHizo ni Pete za bahati za majini,
Acha kuishi uvunguni iperuzi dunia utajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe nae unaijua dunia ? PoleHizo ni Pete za bahati za majini,
Acha kuishi uvunguni iperuzi dunia utajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna safari ndefu mnooMpaka sasa wanaamini kuwa Baba Godi atarudi...