Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Ndo bin adam tulivo hivo mkuu!!huwa tunajisahau saana pale tunapo pewa neema na Mola ,,!![emoji29][emoji29]
 
Si pombe ni kale kaugonjwa
Kaugonjwa gani mkuu? Mbona waifu yupo super? Halafu huyu jamaa ni mlevi wa GAMBE sio wa MBUNYE. So, mm nakataa hakawezi kuwa kale kaugonjwa ketu bhana. Au labda alianza kunywa GONGO limemu-affect nini?πŸ˜›πŸ˜€
 
Kwanini Magufuli hakuruhusu GONGO mapema amukoe mchungaji huenda KONYAGI zimemkataa?
 
Kaugonjwa gani mkuu? Mbona waifu yupo super? Halafu huyu jamaa ni mlevi wa GAMBE sio wa MBUNYE. So, mm nakataa hakawezi kuwa kale kaugonjwa ketu bhana. Au labda alianza kunywa GONGO limemu-affect nini?πŸ˜›πŸ˜€
Namuoneaga huruma sana Happiness [emoji18][emoji18][emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…