Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Tupieni na picha zake za achieve!

1062560
 
Dooooooh upako kwishnee... mdomo wake ulijaa maneno ya kejeli kejeli anasema "hapa kwangu sina kimeo hata kimoja zote hizi gari kalii" mimi mtu wa perfume kaliii Mungu anisamehe" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... utaskia "nitatongoza wake za watu wangapi...wivu tuuu.. waume zao wakiniona nilivyo wanajua wake zao hawawezi kunikataaa"... "umeona hizi nywele zangu.. sipaki dawa mimi hizi ni natural"
Ndo bin adam tulivo hivo mkuu!!huwa tunajisahau saana pale tunapo pewa neema na Mola ,,!![emoji29][emoji29]
 
Si pombe ni kale kaugonjwa
Kaugonjwa gani mkuu? Mbona waifu yupo super? Halafu huyu jamaa ni mlevi wa GAMBE sio wa MBUNYE. So, mm nakataa hakawezi kuwa kale kaugonjwa ketu bhana. Au labda alianza kunywa GONGO limemu-affect nini?😛😀
 
Kwanini Magufuli hakuruhusu GONGO mapema amukoe mchungaji huenda KONYAGI zimemkataa?
 
Back
Top Bottom