Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
una ushahid ni mlevi?
Ndio hivyo mziki wa konyagi unauujua
Ndio hivyo mziki wa konyagi unauujua
Usiniambie kila mtu, nakuuliza wewe ulimuona? au umejihakikishia vp kupitia ushahid wako mwenyew sio wa kuambiwaKila mtu unajua mkuu..labda bado wewe peke ako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamjua unamsikia ngoja nikutag kwenye thread husika
Wakati ni ukuta ndugu zangu,na mtaji pekee maishani ni afya njema otherwise kiufupi mzee baba hapa mtaji umeshayumba.Pole kwa yote bw mkubwaNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
kapata niniSi mlokole huyu, kaupata wap???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubunge mkuu.kapata nini
Kwamba ukizeeka unakondaNi uzee jamani
HahahaHaya makanisa yanayoitwa ya kiroho haya!!!! unatangazia dunia kuwa una solve matatizo na magojwa ya yasiyotibika!!!! haya wanakuja !!!! tunazoeana!!!! wanakuwa waamini!!!! wanatoa ushuhuda wamepona!!!! tunashangiliaaaaaaaaaa
kapata nini
Mmepinda..halafu kama mna uhakika ongeeni jamani.bila kama sivyo mtahukumiwa kwa vinywa vyenuUbunge mkuu.
"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
Mi nakumbuka alisema mwenyewe kuwa anapiga WINE ila hakusema kama anapiga ngumu nyeupeUsiniambie kila mtu, nakuuliza wewe ulimuona? au umejihakikishia vp kupitia ushahid wako mwenyew sio wa kuambiwa
😢😢 yani mpk amekuwa kama mbabu jmnTuna kila sababu ya kumwombea Mchungaji Lusekelo kwa kweli..Hizi ni picha zake tatu tofauti.View attachment 1060390View attachment 1060391View attachment 1060393
Sent using Jamii Forums mobile app