Mkuu em kuwa siriaz.Si pombe ni kale kaugonjwa
Sure, hawa wachungaji hujinasibu kuwa wanaponya magonjwa yote, ila ndo wanaojazana misururu ya dawa za kisukari! Sijui kwa nini wasijiombee wapone!Mganga hajigangi... Nyagi haijawahi kumuacha mtumishi salama
Jr[emoji769]
Mi huyu mzee amenipa maswali mengi bila majibu.
Hizo Pete ni za nini?
Kwanini miaka ile nliwahi kwenda kanisani kwake wahudumu wako standby wakimfosi kila alieacha macho wazi afumbe wakati wa kuabudu na ndo mda huo huo huyu mzee anaingilia kule mbele ya madhabahu. shida nini?na nliwahi ona wengine wanalalamikia hili.
Pili alikua ana kitaulo maalum pale kwenye altar mpaka maneno ya waumini yakazidi akaanza kujitetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, toa testimony yote uwaokoe wenzako na manabii uchwara
Acha uchuro......unaweza kututhibitishia kama daktari...????Ukosefu wa Kinga Mwilini.
Kanisa lishajifia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye kasemaje mpaka athibitishe?Acha uchuro......unaweza kututhibitishia kama daktari...????
Huwa ninapitapita maeneo hayo japo sijawahi kuliona.
Uongo hudumu muda mfupi sana na ndiyo sifa yake kuu
Weka picha yako tuweze kujua wewe na yeye nani mwenye afya.
Acha uzushi wewe mwanamamaUkosefu wa Kinga Mwilini.
Akikujibu nishirikishe boss
Kasome post yake utaelewaKwani yeye kasemaje mpaka athibitishe?
Athibitishe nini?
Trust me wanafanya tena sana...Dah...kazi IPO
Hivi kuna wanaofanya hivi...?
Maana naona yule wa Tanganyika packers anajaza watu hadi hapatamaniki..nna mashaka nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Aibu yake itajulikana sanaAtakuwa na mwisho mgumu, mbaya mpaka mtashangaa
Jr[emoji769]
UtTrust me wanafanya tena sana...
Jr[emoji769]