OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Friend game + game moja ya ligi zimetosha kumpima jamaa na kusema Yanga tumepigwaView attachment 1701716
Hizi mechi mbili za African Sports na Mbeya City itoshe kusema huyu jamaa ni mashine. Kama waandishi uchwara wanasema hakabisi mimi ni nani nibishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Friend game + game moja ya ligi zimetosha kumpima jamaa na kusema Yanga tumepigwa
MTU ambaye hawezi hata kukontro mpira unamkaba wa nini??? Matumizi mabaya ya wachezaji hayo!Huyo hakabiki isipokuwa anahitaji muda kama pacha wake sarpong.... Sarpong mwenyewe hakabiki isipokuwa bado tunampa muda.......!!
fundisha kwanza yeye kutuliza mpiraKuna siku utatamani kufuta huu uzi ila ndo hivyo mods sio kina Jecha.
Akili zenu zinafanana mashabiki wa Makolo ni Mbumbumbufundisha kwanza yeye kutuliza mpira
Yametimia πKuna siku utatamani kufuta huu uzi ila ndo hivyo mods sio kina Jecha.