Namkosea, lakini ndio inafanya ndoa yetu iwe na amani



Mkeo analiwa na anatoka nje ya ndoa, Kama uamini njoo PM nikupe mbinu uthibitishe!
 
Mie nmenuniwa siku ya 2 leo na mie nmechuns kmya nataka nione mwsho wake hawa viumbe hawaelewekagi
Wakati mwingine huwa ni mood swings kutokana na mabasiliko ya mwili kwenye zile siku 28. Atakuwa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…