Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
nipe mfano wa nchi yoyote ile africa ambayo katiba mpya ilileta ahueni katika mfumo wake wa kisiasa, mabadiliko yanaanzia kwa watu wenyew kwanza, watu wanaoamin mbowe hawez kukosea/kushtakiwa plus wale wanasayansi walioshauri mashine za nyungu zikafungwe hospitali kabisa hapa katiba mpya inaweza isiwe msaada
Rudia kusoma ulichokiandikaKama siyo rahisi basi aache nahakama ifanye kazi yake.
Umesahau na KenyaZipo mfano ni jirani Kenya na Africa Kusini etc
Lita???? Limemkost Sana leo Arusha hakuna mtu aliyekuwa na time naye
Wapigaji (Msoga Gang) tu ndiyo wanamkubali.Mkuu kachukiwa kweli kweli na walio wengi. Wanaomsifia sasa hivi ni kakikundi kadogo cha wanafiki wanufaikaji. Kikundi kile kinatumia udhaifu wake wa kutojua ni nini hasa anachokiamini na kukisimamia.
Katiba haiheshimiki kwa sababu maccm mmewapa viongozi wakuu wa kiserikali Kinga ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote yale 😡😡😡katiba mpya haitokuwa na maana yeyote ile km mentality za watz ni zilezile, km huheshimu katiba hii nn kitafanya uheshimu ile? ht kwa wenzetu wanafanikiwa si kwasababu wana katiba nzuri sana ila ule utayari wa kuheshimu katiba zao
Hakika kabisaaaaa Umenena vema kabisa. Kumbe unaona eee?Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Soma Waebrania 13:17Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Kumbuka kuwa Mama alipoingia tu madarakani aliwapa Uhuru wafanye mambo yao kilichotokea ulionaRais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
NonsenseSoma Waebrania 13:17
Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.
Eee hahahahhhhhhhhh imekula kwenuNonsense
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] nakazia hapahapa.Kumbuka kuwa Mama alipoingia tu madarakani aliwapa Uhuru wafanye mambo yao kilichotokea uliona
Mdude akasema atamnyoa mama kama alivyomnyoa Magu
Mbowe akawa anaandaa makongamano na maandamano nchi nzima yasio na kikomo hadi katiba mpya ipatikane
Waache wale jeuri yao
Kumbuka samia hana mamlaka ya kushitaki au kufuta shtakaRais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Umenena vema kabisa. Mama anadanganywa tu na wanaCCM kwa sababu kwa taarifa tunazozipata toka mahakamani na mashahidi ni kwamba kesi hii iliandaliwa enzi za Jiwe wakishirikiana na Sabaya na mapolisi wa Sirro na Kingai. Lakini Mama akumbuke kuwa waliompokea kwa shangwe na kuuaminisha umma kwamba Mama anaweza ni Chadema. Chadema wamekuwa mstari wa mbele pia kumuunga mkono mama kwenye mapambano dhidi ya CORONA ikiwemo uvaaji wa barakoa na chanjo. Ukweli CCM haikumpokea kabisa wala kumkubali Mama kwenye hiyo nafasi yake. Akumbuke hilo na aache kumtesa Mbowe. Hata mimi mama namkubali sana ila nikikumbuka kwamba Mbowe yupo mahabusu akiteseka nakosa raha kabisa.Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Wapuuzi tupo wengiWapuuzi kama ww ndio wanaweza kumchukia Rais kwa sababu ya mpumbavu mmoja (MBOWE)
Waje kufanya nnUmeandika kwa majonzi sana na mabeberu wanamlia mingo tu. Angalia Waziri wa mambo ya nje wa Marekani kaishia Kenya tu. Hapa hawaji.
Taga imepanic[emoji1][emoji1]Yaan we fala nchi hii ilivyo kubwa useme Arusha hawana time nae?. Kwani umeambiwa alienda kwa shughuli za kikawaida pale.?