Namkubali Rais Samia, lakini suala la Mbowe linapunguza mapenzi yangu dhidi yake

Namkubali Rais Samia, lakini suala la Mbowe linapunguza mapenzi yangu dhidi yake

kwani kuwa CCM ni dhambi? mi nimesema anajua kujenga hoja. sasa km yupo ccm au kwngne sifaham

Kuwa ccm sio dhambi ila dhambi ni kujificha kwenye koti la upinzani wakati yeye ni ccm, Zitto hana hoja ila ni mdandia hoja
 
mbowe aliufyata enzi za magu ila sasa hivi anataka kuonyesha ushupavu wake kwa mama sasa hii ni km provocation hakuna mtu anayeweza kuvumilia, sometimes wapinzan wenyew ndio wanacreate mazingira magumu, walimwita jk dhaifu kikaja chuma wakasema dikteta kaja mama anawabembeleza wanakuja kama huyo hapo juu anasema mama haelew anachofanya, sasa hawa kina mbowe wanatikisa kiberiti halafu mama akiwashushia moto watu wanapiga kelele sa sijui sisi wabongo tunataka nini, binafsi imefikia kipindi wapinzani siwaelewi ila hata mitaan support kwa upinzani km imepungua kiasi flan si kwamba watu wanaikubali sn CCM bali upinzani hauelewek kabisa uko shagalabagala
Raisi sio mungu, kukosolewa lazima,,Kama upinzani umekufa mbona CCM wanaiba ata vitongoji taga wewe[emoji1]
 
itasaidia nn km kuna watu wanaamin kuwa mbowe hawez kosea na hata akikosea hatakiwi kukamatwa sasa katiba mpya inatusaigiaje kwenye mazingira km haya, matatizo yetu sisi sio katiba ila vichwa vyetu, si ndio sisi tulikua tunajifukiza kujikinga na hii kitu!
Ashitakiwe kwa haki sio huo upuuzi wa Kaaya,Mahita,Kingai na Kaaaya[emoji1][emoji1]
 
sijui zipi. ila pamoja na mambo yake mengine but mtu km zitto angalau anajitofautisha na wengine kuna kpnd huwa anatoa hoja kali na mifano halisi kabisa afu wahusika wanajifanya km hawaoni vile au hawasikii hoja zake ila hawa wengine ni siasa za matukio tu
Kwani siasa za matukio Ni jinai???[emoji848]
 
nipe mfano wa nchi yoyote ile africa ambayo katiba mpya ilileta ahueni katika mfumo wake wa kisiasa, mabadiliko yanaanzia kwa watu wenyew kwanza, watu wanaoamin mbowe hawez kukosea/kushtakiwa plus wale wanasayansi walioshauri mashine za nyungu zikafungwe hospitali kabisa hapa katiba mpya inaweza isiwe msaada
Taga unaogopa katiba hatr
 
Mahaba yamekupa upofu ndiyo maana unaona kudai katiba mpya ni dhambi inayolingana na dhambi ya kubambikia kesi ya ugaidi.

Mfupa umewakwama kwenye koo mmepanic hadi mnafanya maigizo ya kujichoresha mahakamani kwenye kesi ya kubumba.
katiba mpya haitokuwa na maana yeyote ile km mentality za watz ni zilezile, km huheshimu katiba hii nn kitafanya uheshimu ile? ht kwa wenzetu wanafanikiwa si kwasababu wana katiba nzuri sana ila ule utayari wa kuheshimu katiba zao
 
Rais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Huenda litamkosti huko mbele
 
Taga unaogopa katiba hatr
hata EU watuandikie ili tuitumie tutakuana na matatizo yaleyale tu kwasababu sisi tuna shida kwenye mitazamo yetu, shida si katiba bali kureinforce hiyo katiba, we unafikiri ukicopy katiba ya ujeruman ukapaste yemen itasaidia chochote? ila ya yemen wajeruman wanaweza wakaishi nayo tu
 
YEYE NA SERIKALI YAKE.
PROF JUMA NA MAHAKAMA YAKE.
NDUGAI NA BUNGE LAKE.


Ukiuyaweka kichwani hayo mambo matatu huwezi changanyikiwa. Vinginevyo misumari yako kichwani imekaa vibaya.
 
Mkuu kachukiwa kweli kweli na walio wengi. Wanaomsifia sasa hivi ni kakikundi kadogo cha wanafiki wanufaikaji. Kikundi kile kinatumia udhaifu wake wa kutojua ni nini hasa anachokiamini na kukisimamia.
Wapuuzi kama ww ndio wanaweza kumchukia Rais kwa sababu ya mpumbavu mmoja (MBOWE)
 
katiba mpya haitokuwa na maana yeyote ile km mentality za watz ni zilezile, km huheshimu katiba hii nn kitafanya uheshimu ile? ht kwa wenzetu wanafanikiwa si kwasababu wana katiba nzuri sana ila ule utayari wa kuheshimu katiba zao
Hoja nyepesi zenye negative expectations kuwa eti "katiba mpya haitakua na maana yoyote kwasababu mentality ya tz ni zilezile" ni kichaka cha kujificha mumiani na vijibwa vyake.

Kama una nia njema unapaswa kuamini kuwa katiba mpya ndiyo itabadili hizo unazoita "mentality zilezile za wa tz"
 
Rais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Umeandika kwa majonzi sana na mabeberu wanamlia mingo tu. Angalia Waziri wa mambo ya nje wa Marekani kaishia Kenya tu. Hapa hawaji.
 
Lita???? Limemkost Sana leo Arusha hakuna mtu aliyekuwa na time naye
Yaan we fala nchi hii ilivyo kubwa useme Arusha hawana time nae?. Kwani umeambiwa alienda kwa shughuli za kikawaida pale.?
 
Back
Top Bottom