Omutontozi
Senior Member
- Nov 12, 2021
- 122
- 218
- Thread starter
- #21
Siwazi uzinzi kama wewe! Umelaaniwa.Mapenzi nae mlianza lini na ni mke wa mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwazi uzinzi kama wewe! Umelaaniwa.Mapenzi nae mlianza lini na ni mke wa mtu?
Asante asipobadili mtazamo wake dhidi ya Mbowe nitamshitaki kwa munguMm sijasema msiba. Weee mshitakie kwa Allah tu
yaan rais wa nchi hii hajui nn anachokiamini na kukisimamia! mtu mbumbu kiasi hicho anasurvive vipi kwe hatamu za uongozi mpk kufika hapo alipo leo? ht km tunakosoa ila sasa hii ni too much au ndio kutake vitu easy km kina shafii dauda na soka letu, hata km humpendi angalau jaribu kuwa objectiveMkuu kachukiwa kweli kweli na walio wengi. Wanaomsifia sasa hivi ni kakikundi kadogo cha wanafiki wanufaikaji. Kikundi kile kinatumia udhaifu wake wa kutojua ni nini hasa anachokiamini na kukisimamia.
Asante mkuu kila nikiomba wote nawaombea heri yani Samia na Mbowe natumaini Samia ataona ukweliSoon atamtoa huyu ndugu yetu....mama ana huruma sana....so endelea kumpenda mama.
Kweli hatunabudi kumtetea!! Lakini amwachie Mbowe hana madhara kwa watz ,Mbowe hawezi kuwadhuru wtz hata siku moja,,,Siasa zifanyike majukwaani sio magerezaniyaan rais wa nchi hii hajui nn anachokiamini na kukisimamia! mtu mbumbu kiasi hicho anasurvive vipi kwe hatamu za uongozi mpk kufika hapo alipo leo? ht km tunakosoa ila sasa hii ni too much au ndio kutake vitu easy km kina shafii dauda na soka letu, hata km humpendi angalau jaribu kuwa objective
Anatapakaza madarasa,zahati,Vituo vya afya,barabara za vijijini,muswada bima ya afya kwa wote unaenda kuwasilishwa na mengine mengi,,,Kibaya ni kumfunga mzee Mbowe
Acha ujuha wewe. Hapa ni jamiiforum na si udakuni huko Facebook na Instagram.Mapenzi nae mlianza lini na ni mke wa mtu?
Mbona hukuhoji kipindi cha Magufuli ambae alikuwa hataki kusikia kitu kinaitwa ajira wala mtumishi wa umma?? Unafiki si jambo jema tenda hakiAnatapakaza madarasa badala ya kutapakaza walimu[emoji848]
Toka ameingia ametangaza ajira kibao taasasi mbalimbali au haupo nchi hii!!? Ila nachotaka na kutamani ni amwachieAnatapakaza madarasa badala ya kutapakaza walimu[emoji848]
Mtazamo uko deep japo kuna wengine wanaweza kukupinga lakini muda utasemaNimepata heshima kubwa mi member mchanga,Mshana umechangia kwenye bandiko langu,,asante mkuu ila mwambie mama anachofanya si sawa
Daa na mie nilikuwa na mapenzi na Samia, ila baada ya kumpa Mbowe bogus case nimemchukia saaaaanaRais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Toka ameingia ametangaza ajira kibao taasasi mbalimbali au haupo nchi hii!!? Ila nachotaka na kutamani ni amwachie
Mbowe sio mhalifu hata kidogo aache kumtesa
Mbona hukuhoji kipindi cha Magufuli ambae alikuwa hataki kusikia kitu kinaitwa ajira wala mtumishi wa umma?? Unafiki si jambo jema tenda haki
😂😁😀😂😀 Diallo bhn anapenda UgomviKuhusu Magufuli Hilo Swala Nazani Diaro Alishatolea Ufafanuzi,
Tuanze na takwimu za Magufuli aliajiri wangapi!!!? Kabla ya kuanza ushabiki maandaziMaitaji ya walimu ni kiasi gani na ajira katoa kiasi gani ni vema tuende na takwimu kabla ya kuanza ushabiki maandazi;
Toka ameingia ametangaza ajira kibao taasasi mbalimbali au haupo nchi hii!!? Ila nachotaka na kutamani ni amwachie
Mbowe sio mhalifu hata kidogo aache kumtesa
Ndo tunakwambia we ni mnafiki kwa sababu hukusema chochote wqkati Magufuli anakataa kuajiri!!?Ajira zilizotangazawa na serikali ni tone tu katiķa bahari ya ukosefu wa ajira.
Tuanze na takwimu za Magufuli aliajiri wangapi!!!? Kabla ya kuanza ushabiki maandazi