Namkubali sana Luhaga Mpina kwa hoja anazotoa Bungeni. Apinga sheria ya kununua vitu used

Namkubali sana Luhaga Mpina kwa hoja anazotoa Bungeni. Apinga sheria ya kununua vitu used

Kwa mawaziri hawa tulio nao tukianza kununua used items basi hapo ndio "tutacheka na ngedere" tutapigwa kwelikweli!
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
Hivi yule Tulia;Magufuli alimtoa wapi?eti Kuna mtumba mwingine ni mpya,kweli!
Ila yule Tulia siku akistaafu atakuwa mtu wa kawaida sana,sijaona legacy yake kama Spika kabisa.Bora ata Ndugai alimchana Bi.Mchele wa Kizimkazi kwa mikopo yake ya kiwaki!
 
Jamani hamjaelewa tu samia analipeleka taifa pabaya? Sheria gani hiyo kuruhusu nchi kununua vitu chakavu. Bila shaka udhibiti utakua hauwezekani serikali itakua inauziwa vitu vibovu kwa bei mbaya.
Alafu Spika wa hovyo anaunga mkono kuwa eti Wataalamu wataenda kukagua Ili kuruhusu bidhaa chakavu inunuliwe!
Nyie kuwapa madaraka watu washamba ni hatari sana!
 
Yuko upande sahihi wa historia amejitenga na walarushwa

Mtumba haina bei maalum Wapigaji ndio dirisha lao hilo na kuiba fedha za Wananchi.
Chris Lukosi ajiandae kuwaletea Mawaziri Range za mtumba kwa gharama za Watanganyika!
 
Yuko upande sahihi wa historia amejitenga na walarushwa

Mtumba haina bei maalum Wapigaji ndio dirisha lao hilo na kuiba fedha za Wananchi.
Speak kila naye anasema team ya kitaalam ndo itakayoruhusu aina ya mitimba ,mwenye mtumba wake anaweza kuhonga hiyo team nzima
 
Hii ya, kununua mitumba angalau kwa kipindi cha mpito haipukiki. Unless kwa mfano mtatataka SGR ianze kutumika baada ya miaka 10-15. Huu ni ukweli mchungu. Watanzania walio wengi wanaongozwa na unafiki tu basi.

Huyu Mh Mpina ameshindwa kufanya kautafiti kwenda kwa watalaamu wa SGR na akaambiwa kinacho endelea hasa baada ya madhara yotokanayo na covid???

Wataalamu wa Kitanzania wakithubutu kutafuta majawabu ya njia mbadala wanasiasa wana wa kwamwisha ili baadaye waje na majawabu kama ya diipiiwelidi.
 
Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.
Mnafiki tu huyu, kakosa uwaziri ndio maana anaigiza uzalendo ila akirejeshewa uwaziri utaona atavyokua kibogoyo. Usiweke guarantee kwa wabunge wa CCM hata siku Moja wanaangalia maslahi tu akipewa tu fungu zuri atakayakana haya yote.
 
Huyu ndiye alipaswa kuwa NWM. Huyu ana ushawishi usukumani
Usukumani gani? Anachukiwa sana na wafugaji na wavuvi kwa jinsi alivyowatesa. Kingine aliangushwa kwenye uchaguzi wa NEC ngazi ya mkoa na taifa so unaposema ana ushawishi mbona hatukuuona kwenye chaguzi za ndani ya chama?
 
Kodi ni pesa zetu sisi Wananchi hao Wabunge walio wengi hawatuwakilishi tena sisi Wananchi na sio Legit wengi waliingizwa kwa nguvu za Dikteta Magufuli.

Hizo huduma ni Mabehewa nk. ni kwa ajili yetu sisi Wananchi.

KWANINI MNAFOSI KUTULETEA HUDUMA BELOW STANDARD ZA MITUMBA KWENI HELA ZA KODI NI ZENU FOR GOD SAKE..

TUNATAKA VIPYA VINYEMI
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
2025 hatoboi mafisadi yamejipanga
 
Kwa mawaziri hawa tulio nao tukianza kununua used items basi hapo ndio "tutacheka na ngedere" tutapigwa kwelikweli!

Kununua vipiya vitawafanya vipi wawe wa aminifu kama tangu hapo awali hawana hiyo sifa ya kuwa waaminifu.? Mh Mpina mwenyewe anakiri ndege mpya imekuwa grounded. Guranteen ya kitu used inawezekana kama anayenegotiate terms za manunuzi anajielewa na haongozwi na tamaa ya rushwa.
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
Huyu ni kati ya wabunge wachache wanaojua kazi yao, kazi ya bunge.

Kwamba ni mhimili unajitegemea unaotakiwa, kuihoji, kushauri na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi.

Wengine wanajua kusinzia na kugonga meza.
 
Back
Top Bottom