Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...teh hee hee...domo zege bwana!Wee Jamaa anzisha Uzi wako kwann unatumia vbaya platform za watu
Ujumbe umefikaNumbisa nimekua nikisoma habari zake hasa katika Uzi wa kupeana like.Na nimetokea kuvutiwa naye kwa jinsi anavyopost vitu vya kuelimisha .Na inaonekana ni mwanamke makini.[emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76]
Ningeweza kuongea mengi pm .Ila pm umeifunga sio mbaya hata hapa ujumbe utaupata. Numbisa ujue huku kuna jamaa anakukubali kwa kazi ila sio kwa mchezo mchezo.