msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Ni maumbile tu! ni kama nundu kwa Ng'ombe.Pumbu siyo mzigo
Una "mdomo" mgumu, ni swali nimekuuliza simulizi katika zipi nilete ipi.Una kichwa kigumu, ni swali nimekuuliza sijakuambia ipi
Mimi nitajuaje simulizi ulizonazo wewe? Muhimu isiwe chai kama ile ulokunywa castle lite mwaka 1998Una "mdomo" mgumu, ni swali nimekuuliza simulizi katika zipi nilete ipi.
Kichwa kigumu ni sawa kwa mwanaume.
Hakika amekusikia mkuumazeeee Only Lilith can provide
Ngoja tuoneπΉKwa nn mamy, c unajua tutakuwa na shuguliπ
shuguli yahitaji stamina, panda shuka ya daladala c unajua tena
Nihakikishe jamboPIcha ya nn tena
Hapo ndo Mimi namhudumia chakula au?
Kwa hiyo mwaka 1998 hakukuwa na castle?Mimi nitajuaje simulizi ulizonazo wewe? Muhimu isiwe chai kama ile ulokunywa castle lite mwaka 1998
Wanakusingiziaπ
Ewaah na yeye anajifanya ameshiba kwlkwl wakati tunajua ana njaaHapo ndo Mimi namhudumia chakula au?
ππΉ
Kazi ipo
Naunga mkono hoja π€£ πKuwa makini na ID mpya, huwa ni wale wale wa zamani wanakuja kivingine, sijamsema Lilith, nasemea ujumla.
πππEwaah na yeye anajifanya ameshiba kwlkwl wakati tunajua ana njaa
NdioKwa hiyo mwaka 1998 hakukuwa na castle?
Basi umechelewa sana Mjini. Castle Lite toka 1994 zinazalishwa.Ndio
Haya majibu ungeyatoa kwenye uzi wako ili watu wakupopoe vizuri ila uliishia kuukimbiaBasi umechelewa sana Mjini. Castle Lite toka 1994 zinazalishwa.