Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Mimi niukimbie uzi? Hebu nitag nije kwenye uzi. Kuna vitoto vingine vipo mle vinanuka mkojo na maziwa nianze kuvijibu hivyo kweli? Hapana. Mi najibizana na watu wakubwa wenye akili na elimu. Mimi kama kupopolewa labda mtu anipopoe kwa risasi au mabomu....๐Haya majibu ungeyatoa kwenye uzi wako ili watu wakupopoe vizuri ila uliishia kuukimbia
We nitafute siku nije sehemu tukae nikupe stories kibao za kitaa na ughaibuni....utaniambia tu unataka zipi. Uta enjoy sana.na mimi wala sina makuu.Haya majibu ungeyatoa kwenye uzi wako ili watu wakupopoe vizuri ila uliishia kuukimbia
Yaani tukae live mimi na wewe tuongee? Unadhani sikumbuki ulivyoleta uzi humu wa kumsema mdada uliyekutana nae jf?We nitafute siku nije sehemu tukae nikupe stories kibao za kitaa na ughaibuni....utaniambia tu unataka zipi. Uta enjoy sana.na mimi wala sina makuu.
Kah! watu mnafukua makaburi.Yaani tukae live mimi na wewe tuongee? Unadhani sikumbuki ulivyoleta uzi humu wa kumsema mdada uliyekutana nae jf?
Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hamna siwezi kukuandika bwana ile story nitakuambia siku mojaYaani tukae live mimi na wewe tuongee? Unadhani sikumbuki ulivyoleta uzi humu wa kumsema mdada uliyekutana nae jf?
Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya
Nicheck private nikuambie kituYaani tukae live mimi na wewe tuongee? Unadhani sikumbuki ulivyoleta uzi humu wa kumsema mdada uliyekutana nae jf?
Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya
Wewe ni kichomi siwezi kuthubutu kwanza jina lako lenyewe ni chizi๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hamna siwezi kukuandika bwana ile story nitakuambia siku moja
Usisikilize maneno ya maadui wangu. Hao wananipakazia mabaya kila siku. Usiwajali hao ni wivu tu. Mi nishasemwa sana mabaya na wengine wanaombea nipigwe ban milele ni wivu tuWewe ni kichomi siwezi kuthubutu kwanza jina lako lenyewe ni chizi
Muambie huyo..Maswala ya Like na watoto wazuri wapi na wapi๐๐LIKE itamsaidia nini?,. Watoto wazuri wanataka hela na mda wa kuingia kwenye kinyang'anyiro ndio huu... Fanya kabla wenzio hawajakuwahi oooh
Mwambie aandae mpunga ๐......Naendaje bila ruhusa ya kaka yangu Monetary doctor
๐
Anadhani tutakula likes๐ญ๐น๐นMwambie aandae mpunga ๐......
Likes hazifungui duka wala sio ugali
Bwana mkubwa unayemkubali bibiye hatuhitaji likes we need money..... Likes peleka efubii huko ๐Anadhani tutakula likes๐ญ๐น๐น
Was fb necessary ๐น๐kaka mkubwaBwana mkubwa unayemkubali bibiye hatuhitaji likes we need money..... Likes peleka efubii huko ๐
Qashy LilithAnajiita lilith?