hahaaa haaa nipo sana mkuuTambwe alishindwa kufuata mfumo wa kocha gani?
Toa sababu Dan ashindwe kuendana na kasi,ya Simba .Wakati mnamfukuza Tambwe na kumleta hamkujua hayo yote.Unanikumbusha kuna mwenzenu anaitwa Revocatus Kashaga,alikuwa anaanzisha mada kama zako siku hizi kaamua kuhamia kwenye siasa
Sembo Na simba yake anaivyoipamba!!
Ikianza ligi hapa hatutaki visingizio