Namleta kwenu Laudit Mavugo

Namleta kwenu Laudit Mavugo

Tatizo la watanzania sio wa wavumilivu wakati soka linahitaji uvumilivu. Kilichomkuta tambwe na dan kinaweza kumkuta huyo mavugo kwani washabiki na viongozi wanategemea tu akija asubuhi na ndege jioni aanza kufunga magoli. Mchezaji anahitaji muda kuzoea hali ya hewa, filosofi ya timu, mfumo wa timu, namna ya kucheza na wenzake uwanjani n.k.
 
Tambwe alishindwa kufuata mfumo wa kocha gani?

Toa sababu Dan ashindwe kuendana na kasi,ya Simba .Wakati mnamfukuza Tambwe na kumleta hamkujua hayo yote.Unanikumbusha kuna mwenzenu anaitwa Revocatus Kashaga,alikuwa anaanzisha mada kama zako siku hizi kaamua kuhamia kwenye siasa
hahaaa haaa nipo sana mkuu
 
lakini mukukumbuke maneno yenu yatawahukumu...hii tabia ya kusifia visivyo na sifa sijui mtaacha lini??.
 
Hatimae hii Ndoto baada ya mwaka ndo inakamilika.. Karibu Msimbazi Mavugo.
 
Back
Top Bottom