Namna gani naweza kuomba pesa za Corporate Social Responsibility kwenye makampuni?

Namna gani naweza kuomba pesa za Corporate Social Responsibility kwenye makampuni?

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Natamani kutuma maombi ya CSR yani corporate social responsibility kwenye makampuni yaliyo karibu yangu hata yaliyo mbali. Ila sijui nifanyeje ili maombi yangu yawafikie na wanizingatie

Mwenye kufahamu naomba anisaidie ujanja nifanyeje? Na wanahitaji nini ? Kama nna idea ya project niliyoiandika namfikishia nani kwenye kampuni? Wanataka project za mlengo upi?

Nikipata pia contact za wahusika itanisaidia sana.
 
Natamani kutuma maombi ya CSR yani corporate social responsibility kwenye makampuni yaliyo karibu yangu hata yaliyo mbali. Ila sijui nifanyeje ili maombi yangu yawafikie na wanizingatie

Mwenye kufahamu naomba anisaidie ujanja nifanyeje? Na wanahitaji nini ? Kama nna idea ya project niliyoiandika namfikishia nani kwenye kampuni? Wanataka project za mlengo upi?

Nikipata pia contact za wahusika itanisaidia sana.
Corporate social responsibility hawashughuliki na mtu mmoja mmoja
Hushughulika na matatizo ya jamii kubwa sio ya mtu mmoja mmoja

Na project iibuliwe na jamii sio mtu mmoja
 
Corporate social responsibility hawashughuliki na mtu mmoja mmoja
Hushughulika na matatizo ya jamii kubwa sio ya mtu mmoja mmoja

Na project iibuliwe na jamii sio mtu mmoja
Si kweli acha kupotosha ukiwa na wazo linaloweza kuisaidia jamii na linaendana na sera za kampuni unapewa hela... mfano IMBEJU ni project ya mtu imechykuliwa na bank.
 
Si kweli acha kupotosha ukiwa na wazo linaloweza kuisaidia jamii na linaendana na sera za kampuni unapewa hela... mfano IMBEJU ni project ya mtu imechykuliwa na bank.
Hiyo ni partnership ya taasisi tatu sio na watu binafsi kwa ajili ya mradi mkubwa wa jamii sio wa individual mmoja unauhusu vijana wanaoibukia kibiashara
 
Hiyo ni partnership ya taasisi tatu sio na watu binafsi kwa ajili ya mradi mkubwa wa jamii sio wa individual mmoja unauhusu vijana wanaoibukia kibiashara
Nimeshaona mgodi ukisaidia nursery schools za watu binafsi Geita. Kubali kujifunza bro
 
Nimeshaona mgodi ukisaidia nursery schools za watu binafsi Geita. Kubali kujifunza bro
Nursery school ni mradi wa jamii ya watu wengi wakiwemo watoto wa wafanyakazi wa mgodi na kadhalika kama jamii ilikuwa ns uhitaji wa Nursery eneo hilo sio kitu cha ajabu mgodi kufadhili

Social responsibility ina deal na matatizo ya jamii ya watu wengi ta jamii
Kama hitaji la wengi lilikuwa Nursery ndio maana waliunga mkono kufadhili

Angalia key words hapo matatizo ya jamii sio ya individual
 
Back
Top Bottom