Namna gani pale great thinkers na matajiri wa JamiiForums. Hili sikulitegemea kabisa

Namna gani pale great thinkers na matajiri wa JamiiForums. Hili sikulitegemea kabisa

M
Nimekutana na hizi nyuzi zifuatazo zimenisikitisha sana

1. Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama huu uzi umetoka kwa lijendari great thinker Mpwayungu Village aisee imenisikitisha sana.

Mi naona tusifike huko jamani great thinkers, kumbukeni hawa wazazi wetu kwanza wengi wao - wazazi wangu nikiwajumlisha ni watu ambao hawakubahatika kupata elimu. Mimi mama yangu elimu yake lasaba. Baba naye elimu yake la nne.

Kuweni na huruma jamani, hawa watu uwezo wao wa kiakili sio mkubwa kiasi hicho. Yaani kwa akili ya darasa la nne na la saba ambazo wazazi wetu wengi ndo wanazo, ujue tu kwamba wanapata changamoto kubwa za maisha.

Sasa kama wamepambana wakakusomesha, aisee ndugu zanguni hawa watu wasaidiwe bila kuwekewa mipaka. Bora kulalamika rohoni ila kuwasemelea kwa kadamnasi hii... Aisee sio sahihi kabisa.

Halafu hela zenyewe hizi unatafutaaa, wala hata hutaishi milele. Unakufa leo wanao kesho wanauza mali za urithi ambazo ndo upo busy kweli kweli ku save na kuzitolea jasho, kjwanyima wazazi na ndugu... Hahahahaha aiseee hahahahahaaaa inafikirisha sanaaa

2. Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako huu uzi nao umeletwa na lijendari great thinker Chizi Maarifa japo kweli uzi una mashiko ila isiwe too much. Kutembeleana nyumbani kweli ni jau, sio tu kwa wanaoishi Dar hata sisi wengine mikoani, ila point kubwa mi naona kama una uwezo wa kusaidia. Jikune pale unapofikia saidia watu kiroho safi.

Haidhuru kulipa ada ya 100,000 kwa mtoto wa ndugu yako huko kijijini kwa mwaka mzima. Kama anao watoto 13, saidia hata hao 3 ukitoa hata laki tano kwa mwaka wakapata ada na uniform najua hutapungukiwa kitu, naamini hivo, na utabarikiwa saaana. Hizo ndo pesa za fungu la kumi na sadaka zinapaswa kutumika. Tuwe na moyo wa kusaidia jamani wengine. Hii kuwa mabepari sio ustaarabu wetu mtanzania na mwafrika.

Kubwa kuliko jamani, kubwa kulikoo 'Tutafuteni helaa' maisha yatakuwa ni hakika, haya malalamiko madogo sana haya jamani... kusaidia wazazi, kusaidia ndugu!!!! Aaaahh hii inakataa kabisa aiseee...

Aaaaah jamani, duniani tunapitaaa matajiri na great thinkers wa jamii forum.

Hakikaaa, Hiyo imeenda hiyo
N. Mushi
Mkuu watu waina ya threads hizo basically wana historia ya kutoka kwenye umasikini.

Wanaukataa umasikini kwa kuwakataa waliowalea kimasikini hadi hapo walipofikia, na mafanikio yao ni kiduchu.

Hawajui kuwa kwa kufanya hivyo machungu ya waliowalea yatawapa laana.
Na kiukweli tabia ya kunyanyapaa ulikotoka, laana hiyo haiwapeleki mbali.
 
Unatafuta hela ya nini kama hauwezi kuwasaidia Mama na Baba kama wapo hai ila JF pana tabia za wahuni zinashangaza kweli unawaanzishia nyuzi wazazi aisee nimeona watu wabinafsi ila huyu ni kiboko na pia atakua na matatizo kama wale wengine waliokua na nyuzi za ajabu ajabu kama hizi...
 
Unatafuta hela ya nini kama hauwezi kunsaidia Mama na Baba kama wapo hai ila JF pana tabia za wahuni zinashangaza kweli unawaanzishia nyuzi wazazi aisee nimeona watu wabinafsi ila huyu ni kiboko na pia atakua na matatizo kama wale wengine waliokua na nyuzi za ajabu ajabu kama hizi...
Hawajui kuwa baada ya Mungu, ni baba na mama.
Wazazi wakisononeka, hutoboi.
Vihela vichache alivyo pata mtu anaye nyanyapaa wazazi ,vinaishia kumuua.
 
Naanto Mushi , kabla hata sijamalizia kusoma,naomba nijibu. Umesema wengine hawana elimu. Uchunguze sana utakuta hao hao wanaosema wameblock, wana makaratasi tu akili ni sifuri. Wakati wanawatolea ada wakasome,hivyo vijisenti vidogovidogo wangenunulia mbuzi na kuku, leo wangekua matajiri vijijini. Za kuwarudishia wazazi hazipo kabisaaa,lakini za kulia matunda kimasihara zipo
 
Swali la kujiuliza. Hawa wanaojiona wamefika wanakerwa hata na wazazi wao,wanaongelea wapi? Bungeni? Wizarani? Viwanda vyao? Au kwenye vijiofisi vya watu! Sasa anaeomba bila kitu na kunyimwa,sawa, ni masikini. Lakini anaeombwa na asitoe huku anajiona ana cha kutoa,si ni tahira tu?
 
Hiyo namba 2. nimekuruhusu uje unitembelee ila ukae siku sio zaidi ya tatu, watu wa mikoani mnakula sana ukikaa wiki sitaweza
🤣🤣 mtu anaweza futa chapati ishirini tena kavu ukimpa na chai je si anaweza kula mpaka na kikombe....
 
Nimekutana na hizi nyuzi zifuatazo zimenisikitisha sana

1. Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama huu uzi umetoka kwa lijendari great thinker Mpwayungu Village aisee imenisikitisha sana.

Mi naona tusifike huko jamani great thinkers, kumbukeni hawa wazazi wetu kwanza wengi wao - wazazi wangu nikiwajumlisha ni watu ambao hawakubahatika kupata elimu. Mimi mama yangu elimu yake lasaba. Baba naye elimu yake la nne.

Kuweni na huruma jamani, hawa watu uwezo wao wa kiakili sio mkubwa kiasi hicho. Yaani kwa akili ya darasa la nne na la saba ambazo wazazi wetu wengi ndo wanazo, ujue tu kwamba wanapata changamoto kubwa za maisha.

Sasa kama wamepambana wakakusomesha, aisee ndugu zanguni hawa watu wasaidiwe bila kuwekewa mipaka. Bora kulalamika rohoni ila kuwasemelea kwa kadamnasi hii... Aisee sio sahihi kabisa.

Halafu hela zenyewe hizi unatafutaaa, wala hata hutaishi milele. Unakufa leo wanao kesho wanauza mali za urithi ambazo ndo upo busy kweli kweli ku save na kuzitolea jasho, kjwanyima wazazi na ndugu... Hahahahaha aiseee hahahahahaaaa inafikirisha sanaaa

2. Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako huu uzi nao umeletwa na lijendari great thinker Chizi Maarifa japo kweli uzi una mashiko ila isiwe too much. Kutembeleana nyumbani kweli ni jau, sio tu kwa wanaoishi Dar hata sisi wengine mikoani, ila point kubwa mi naona kama una uwezo wa kusaidia. Jikune pale unapofikia saidia watu kiroho safi.

Haidhuru kulipa ada ya 100,000 kwa mtoto wa ndugu yako huko kijijini kwa mwaka mzima. Kama anao watoto 13, saidia hata hao 3 ukitoa hata laki tano kwa mwaka wakapata ada na uniform najua hutapungukiwa kitu, naamini hivo, na utabarikiwa saaana. Hizo ndo pesa za fungu la kumi na sadaka zinapaswa kutumika. Tuwe na moyo wa kusaidia jamani wengine. Hii kuwa mabepari sio ustaarabu wetu mtanzania na mwafrika.

Kubwa kuliko jamani, kubwa kulikoo 'Tutafuteni helaa' maisha yatakuwa ni hakika, haya malalamiko madogo sana haya jamani... kusaidia wazazi, kusaidia ndugu!!!! Aaaahh hii inakataa kabisa aiseee...

Aaaaah jamani, duniani tunapitaaa matajiri na great thinkers wa jamii forum.

Hakikaaa, Hiyo imeenda hiyo
N. Mushi
YANI UNATOA MADA KWA MPWA NYUNGU WE UNAZANI AKILI YAKE IPO SAWA KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAWATUKANA WALIMU HIVI MTU MZIMA NA AKILI ZAKO UNAWEZA KUM BLOCK MZAZI WAKO? HAIWEZEKANI MPWA NYUNGU NI OMBA OMBA MKUBWA WA M PAWA, SONGESHA YANI JINGA JINGA TU SO TOA HABARI ZAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naanto Mushi , kabla hata sijamalizia kusoma,naomba nijibu. Umesema wengine hawana elimu. Uchunguze sana utakuta hao hao wanaosema wameblock, wana makaratasi tu akili ni sifuri. Wakati wanawatolea ada wakasome,hivyo vijiseti vidogovidogo wangenunulia mbuzi na kuku, leo wangekua matajiri vijijini. Za kuwarudishia wazazi hazipo kabisaaa,lakini za kulia matunda kimasihara zipo
Watu watafute hela tu mkuu.... asa usipomuhudumia mzazi wako nani atamuhudumia?
 
Unatafuta hela ya nini kama hauwezi kuwasaidia Mama na Baba kama wapo hai ila JF pana tabia za wahuni zinashangaza kweli unawaanzishia nyuzi wazazi aisee nimeona watu wabinafsi ila huyu ni kiboko na pia atakua na matatizo kama wale wengine waliokua na nyuzi za ajabu ajabu kama hizi...
Ndo hapo sasa ...
 
Sasa Mpwayungu ametokea Dofima, asili ni ombaomba ukijumlisha ombaomba mwenyewe ni mzazi sijui kwanini amewanyima
 
Unatafuta hela ya nini kama hauwezi kuwasaidia Mama na Baba kama wapo hai ila JF pana tabia za wahuni zinashangaza kweli unawaanzishia nyuzi wazazi aisee nimeona watu wabinafsi ila huyu ni kiboko na pia atakua na matatizo kama wale wengine waliokua na nyuzi za ajabu ajabu kama hizi...
Usimchukulia siriaz mpwayungu, uumbaji bado unaendelea, hivyo hajakamilika
 
Unatafuta hela ya nini kama hauwezi kuwasaidia Mama na Baba kama wapo hai ila JF pana tabia za wahuni zinashangaza kweli unawaanzishia nyuzi wazazi aisee nimeona watu wabinafsi ila huyu ni kiboko na pia atakua na matatizo kama wale wengine waliokua na nyuzi za ajabu ajabu kama hizi...
Inashangaza sana
 
Back
Top Bottom