Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Mimi wakwangu tumefikia mahali tunaondoka makwetu jumapili asubuhi tunaaga tunaenda kanisani, tunabeba na vitabu vya nyimbo nk haoo tunakutana loji.

Tukifika tunafungua kwa sala, tunaungama dhambi zetu zote (ya uzinzi tunaiweka kwenye kundi la zile dhambi tulizozisahau) then tunaendelea na mambo yetu.

Na kwakweli Mungu amekua muaminifu sana kwetu na tunamshukuru manake unaenda mwaka karibu wa 6 huu tuko pamoja penzi letu linazidi kushamiri 🙏
Hahaha aisee
 
Uko sahihi 💯

Mwanamke akipenda anakuaga hatumii akili kabisa, anakua tayari kwa lolote.

Kuna mmoja nilikua nae siku moja nikamuuliza "hivi mume wako akikukamata itakuaje..?"

Akajibu "Atakavyoamua yeye, akiamua kuniacha sawa akiamua kuendelea na mimi sawa."

Mkuu ugoni mwingi unatokea kwa mtu kutegemea akili ya mwanamke. Mwanamke akipenda anakosa umakini na kutojali anakuwa "Blindfolded". Wana wengi wanadakwa kwa sababu hii, mke wa mtu anakuita nyumbani kwa mumeme unaenda na unakula chakula kabisa. 😁

Mabaharia hatukubali kwenda kwenye geto la demu hata kama sio mke wa mtu. Unadakwa mzee na unapigwa pumbu mtoto wa kiume.
 
We mwamba unabaraa sana ,yaani umekusudia kabisa udate na mke wa mtu??
 
Kua radhi kupakatwa na kupakwa futa muda wowote.
 
Namna smart nunua Jelly kila uendako uende nayo, lazima utafiRw@ utajutia kwanini watu walisema mke wa mtu ni sumu
 
Mgonge chin ya kiwango chq mmewake
Gonga kimoja tuu tulia
 
Mko poa humu watu wa mapenzi?

Nina mahusiano na mke wa mtu.

So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?

Muwe na jioni njema.
Usimpigie simu wala kutuma sms hadi yeye aanzishe mawasiliano na usimle karibu na anapoishi yeye au wewe
 
Kuwa makini anaweza kuuza location ili aonekane ni muaminifu kwa mumewe wapige pesa . Woman are dangerous creatures I ever seen in my life
 
Back
Top Bottom