Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Anaeweza kukulinda na mumewe asikujue ni huyo huyo mkewe. Yeye ndio anatakiwa awe smart akupange wewe maana ndo anajua ratiba za mumewe na vipi asishikwe.
Usiwe na kiwewe sana na mke wa mtu na ukigundua na yeye amekuelewa sana basi uwe makini sana ukijisahau tuu unashikwa. Manzi akikuelewa sana anakosa umakini, anaanza dharau na kutojali lolote. Anaweza hata kukwita kwake usiku wa manane ukapige hata vichakani. Sasa ukijisahau tuu unashikwa mzee na siku hizi hawakamati ugoni kwa kelele wala hawakupigi, unapigwa pipe tuu mwanawane kwa lengo la kukuchana marinda huku wanachukua Video.
Kuwa makini usiende kiboyaboya utadakwa na utapakwa mafuta mkuu.
Tupo pamoja.
 
Anaeweza kukulinda na mumewe asikujue ni huyo huyo mkewe. Yeye ndio anatakiwa awe smart akupange wewe maana ndo anajua ratiba za mumewe na vipi asishikwe.
Usiwe na kiwewe sana na mke wa mtu na ukigundua na yeye amekuelewa sana basi uwe makini sana ukijisahau tuu unashikwa. Manzi akikuelewa sana anakosa umakini, anaanza dharau na kutojali lolote. Anaweza hata kukwita kwake usiku wa manane ukapige hata vichakani. Sasa ukijisahau tuu unashikwa mzee na siku hizi hawakamati ugoni kwa kelele wala hawakupigi, unapigwa pipe tuu mwanawane kwa lengo la kukuchana marinda huku wanachukua Video.
Kuwa makini usiende kiboyaboya utadakwa na utapakwa mafuta mkuu.
Tupo pamoja.
Uko sahihi 💯

Mwanamke akipenda anakuaga hatumii akili kabisa, anakua tayari kwa lolote.

Kuna mmoja nilikua nae siku moja nikamuuliza "hivi mume wako akikukamata itakuaje..?"

Akajibu "Atakavyoamua yeye, akiamua kuniacha sawa akiamua kuendelea na mimi sawa."
 
Humo kama kuna mtu anatembea na mke wako, njoo nikupe number ya mganga iko kigoma hamna haja ya kusafiri unamlipa baada ya kuona matokeo, anambadilisha mpaka mwanaume ana kua paka au mbwa, pia kama wataka radi, au apigwe na stroke ni wewe tu, ila shariti iwe ni kweli usiwe muongo......
Nasikia huko kuna radi mpaka za ef moja mia tano chap haraka unaipata🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom