Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Hahaha aisee
 

Mkuu ugoni mwingi unatokea kwa mtu kutegemea akili ya mwanamke. Mwanamke akipenda anakosa umakini na kutojali anakuwa "Blindfolded". Wana wengi wanadakwa kwa sababu hii, mke wa mtu anakuita nyumbani kwa mumeme unaenda na unakula chakula kabisa. 😁

Mabaharia hatukubali kwenda kwenye geto la demu hata kama sio mke wa mtu. Unadakwa mzee na unapigwa pumbu mtoto wa kiume.
 
We mwamba unabaraa sana ,yaani umekusudia kabisa udate na mke wa mtu??
 
Kua radhi kupakatwa na kupakwa futa muda wowote.
 
Namna smart nunua Jelly kila uendako uende nayo, lazima utafiRw@ utajutia kwanini watu walisema mke wa mtu ni sumu
 
Mgonge chin ya kiwango chq mmewake
Gonga kimoja tuu tulia
 
Mko poa humu watu wa mapenzi?

Nina mahusiano na mke wa mtu.

So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?

Muwe na jioni njema.
Usimpigie simu wala kutuma sms hadi yeye aanzishe mawasiliano na usimle karibu na anapoishi yeye au wewe
 
Kuwa makini anaweza kuuza location ili aonekane ni muaminifu kwa mumewe wapige pesa . Woman are dangerous creatures I ever seen in my life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…