Namna gani utaondoa chogo kwa mtoto mchanga?

Namna gani utaondoa chogo kwa mtoto mchanga?

Buzi Maarufu

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2019
Posts
422
Reaction score
330
My wife kajifungua wiki moja iliyopita, mtoto wa kwanza huyo, kwa jinsi ninavyomuona huyu mtoto atakuwa na chogo kama la mimi baba yake.

Nimeshawahi kusikia kwamba unaweza ukamfanyia mazoezi mtoto mchanga mwenye chogo hatimaye chogo likapotea (kumlaza chali)?

Je habari hizi ni za kweli? Kama ni za kweli nipeni elimu tafadhali ili nimfanyie mazoezi mwanangu (nikiwa darasa la tatu shule ilikuwa chungu kwasababu ya kuitwa chogo yaliyonitokea mimi nisingependa yaje yamtokee mwanangu).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello mkuu ukipata muda Ingia youtube uangalie. Kuna mada humu niliona wanasema kuna njia ya kumlaza chali ukiachana na hiyo kuna nyingine ya kumfunga kama kiremba kichwani kwa kutumia kanga laini au kitambaa laini....hii ya kutumia kiremba ni nzuri maana hiyo ya chali utamuweka kichwa cha pembe sio vzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello mkuu ukipata muda Ingia youtube uangalie... Kuna mada humu niliona wanasema kuna njia ya kumlaza chali ukiachana na hiyo kuna nyingine ya kumfunga kama kiremba kichwani kwa kutumia kanga laini au kitambaa laini....hii ya kutumia kiremba ni nzuri maana hiyo ya chali utamuweka kichwa cha pembe sio vzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muache akuwe nalo mkuu tena hao wenye chogo huwa na akili sana
 
Tanayzer,
Halafu hiyo ya kumlaza chali sio nzuri hasa akiwa ni mtoto wa kike kwani akizoea hiyo basi atakuwa anapenda sana kutumia na ktk missionary position, halafu kuna kabila jingine nafikiri ni wakwere au wagogo.

Wao waliniambia kuwa chukua ndonga yako halafu igonge kwenye kichwa cha mtoto mara tatu na baada ya hapo chogo litapotea wee mwenzangu usiombe nilifanya hivyo matokeo toto lilikuwa nunda linapenda hiyo kitu kama limezaliwa na Mngoni wa Songea
 
Mlaze kwa tumbo..Mara nyingi vichogo huwa vinawapata watoto waluozaliwa kwa njia ya kawaida..watoto wa operation huwa hawana vichogo labda Kama umemlaza vibaya
 
Back
Top Bottom