Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Tengeneza ngata (nzinga): sina uhakika kiswahili ni kipi hapo.
Mlaze mtoto kisogo kikiwa kikiwa kimewekwa humo. Kichwa kitachukua shape uliyoitengeneza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi sio genius ,maneno tu ya watuWhy utoe chogo la mtoto..si wanasemaga wenye machogo huwa maginiazi... mbona wataka muonea dogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ka ukweli 90%Mlaze kwa tumbo..Mara nyingi vichogo huwa vinawapata watoto waluozaliwa kwa njia ya kawaida..watoto wa operation huwa hawana vichogo labda Kama umemlaza vibaya
Yah vipo..unaweza agiza pia
Wasionayo hawana akili?Liache tu hilo chogo, wanakuwaga na akili sana za darasani.
Haya mambo ni kabila na kabila na mila zao, kule kwetu mototo akizaliwa na chogo, wanampima ukutani kila alfajiri.
Liache tu hilo chogo, wanakuwaga na akili sana za darasani.
Kabila gani hilo mkuu?Haya mambo ni kabila na kabila na mila zao, kule kwetu mototo akizaliwa na chogo, wanampima ukutani kila alfajiri.
Nimewai ona na inatokea sio kusimuliwa.
Kila asbh mama yake anamgusisha kisogo ukutani. Sio kwa kumgonga, ni polepole tu. Fanya daily utanambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akilalia tumbo chogo litaishaje?Sio sahihi kumlaza chali mtoto mchanga. Anaweza akapaliwa na maziwa usingizini yakawa mambo mengine. Kumlaza kwa tumbo ni salama zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
May be Kuna njia nyingine ambayo ni salama. Tuwaulize wazanzibari maana hawa ndugu zetu hawanaga machogo sijui wanafanyaje