Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?Ikija fursa ya kuuza lita tano, kumi na ishirini za madumu ya mafuta ya kula nishtue maana naona vimejaa sana hapa nilipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?Ikija fursa ya kuuza lita tano, kumi na ishirini za madumu ya mafuta ya kula nishtue maana naona vimejaa sana hapa nilipo
Kwa Watanzania wengi uthubutu ni kipengele sana ndiyo maana wanaothubutu kutoboa ni rahisi sana
Thubutu kukutwa na bwana pepsi, hizi biashara zina kanuni sio kama tunavyowashana magari humu! Unafungwa mota na mtu ambaye yeye akifika wateja wanamkimbilia ikiwa wewe ni lazma uanze kuwapora wateja wake wahamie kwako!Idea ni nzuri sana tatizo uthubutu
Nikukumbushe tu kila biashara inalipa kwenye maelezo ila mambo kwa ground ni different!
Korie na MO. Mwezi uliopita ilikuwa 100,000 kwa lita 20, 25,000 lita 5Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?
yan tangu nisome hii thread bado sjajua navifanyaje na sjui hata ñaanzia wapiNikukumbushe tu kila biashara inalipa kwenye maelezo ila mambo kwa ground ni different!
😂😂😂 nimevifunga vizur pamoja vipo stoo muda huuInabidi uwekwe rumande kwa kuchoma noti.
Uko salama?
We mke wa mtu huwezi fanya hio shughuli ya kusafiri!yan tangu nisome hii thread bado sjajua navifanyaje na sjui hata ñaanzia wapi
mimi sitaki kusafiri kabisa ningepata mtu anayevitaka ningempa mana kuna kuda naona kama uchafuWe mke wa mtu huwezi fanya hio shughuli ya kusafiri!
Hio inatufaa wajuba na kimsingi biashara ya kusafiri nipate faida ya 5000 au zaidi per unit! Vinginevyo wacha nibakie zangu nilipo.
😂😂😂 nimevifunga vizur pamoja vipo stoo muda huu
sjambo hof kwako
hahaha kufuli tena sababu ya viroba tuAlhamdulillah! Tena uweke kufuli madhubuti
Hahahahah upo wapi mrembo, ngoja nilete vijana wazoe uchafu huo 😅mimi sitaki kusafiri kabisa ningepata mtu anayevitaka ningempa mana kuna kuda naona kama uchafu
😂😂😂😂😂 kama ni hivo hana haja ya kuzunguka aende direct kwenye point nitampatia tu sababu sina kazi navyo
😅😅😅😅😅😅 mie sina mengi ila vijana ntawaagiza waje kufanya usafi!😂😂😂😂😂 kama ni hivo hana haja ya kuzunguka aende direct kwenye point nitampatia tu sababu sina kazi navyo
Tanga mieHahahahah upo wapi mrembo, ngoja nilete vijana wazoe uchafu huo 😅
Tanga 😌😌😌Tanga mie
hahahaha wewe huvitaki???Unastahili wazee wa PGO weye si bure, hata baada ya hili somo baso unataka kutupa pesa?
Ila ukimpatia huto jamaa yangu halijaharibika neno, ni mhangaikaji mwenzangu.