Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
karibu, karibu๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ mie sina mengi ila vijana ntawaagiza waje kufanya usafi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu, karibu๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ mie sina mengi ila vijana ntawaagiza waje kufanya usafi!
yan tangu nisome hii thread bado sjajua navifanyaje na sjui hata รฑaanzia wapi
eeh ndioTanga ๐๐๐
hahahaha wewe huvitaki???
dooh sio kwamba nataka kufanya mana hata nikitaka kuifanya sitaweza huko kahama hiyo migodi yenyewe siijui ilipo ni nini kikanikute kitu??Hadi hapo wewe fanya mambo mengine, fanya maisha, biashara tupa mbali kabisa.
Asante sana bibie! Sema huwa mnavitoa wapi vingi hivyo๐karibu, karibu
bas changamkieni diliAkivipata mwamba, nimepata mimi.
Kama unatumia kuwashia moto jiandae kuzaa watoto wasio na homoni zinazoeleweka.Si ni hivi viroba vya unga? Ninavyo tele nina kazi ya kuwashia moto nikitaka kupikia mkaa kumbe ni hela nawashia moto? Ngoja nikazane kuvikusanya
nikinunua unga, au nikifanya manunuzi ya mahitaji yangu kwangu sasa mizigo mingi hua naona kero naifunga naiweka pamoja kwenye kiroba na viroba vyenyewe naviomba huko nakonunua hivo vitu kuna muda hua navinunua pia mfano nikinunua mchele bas lazima waniwekee kwenye kiroba mana sinunui kilo tano ni kum na kuendelea hata unga hua nanunua wa kg 25 nahakikisha tu nautunza vizur na haujakaa dukani sanaAsante sana bibie! Sema huwa mnavitoa wapi vingi hivyo๐
yes hua natumia vile vijiti hata mifuko ya magufuli me ili mrad moto uwake, tulianza kuwashia zile nailoni nyeusi na malboro tukaambiwa hivo hivo lolote litakalo tokea nimekubaliana nalo.Kama unatumia kuwashia moto jiandae kuzaa watoto wasio na homoni zinazoeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unatumia kuwashia moto jiandae kuzaa watoto wasio na homoni zinazoeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
nikinunua unga, au nikifanya manunuzi ya mahitaji yangu kwangu sasa mizigo mingi hua naona kero naifunga naiweka pamoja kwenye kiroba na viroba vyenyewe naviomba huko nakonunua hivo vitu kuna muda hua navinunua pia mfano nikinunua mchele bas lazima waniwekee kwenye kiroba mana sinunui kilo tano ni kum na kuendelea hata unga hua nanunua wa kg 25 nahakikisha tu nautunza vizur na haujakaa dukani sana
nina ndoo maalum za kutunzia vitu kama hivyo nahakikisha ndoo hazina maji na hua nahakikisha nikifunga mfuniko nakaza tena unga ukikaa sana dukani ndio unakuta ubafanya wadudu unga wa ngano ukiweka ndoo ikiwa na maji hali ni hiyo hiyo maharage ukihifadhi usifunike ndoo mchele hakikisha tu ndoo ni kavu basDuuuuh best wewe unga wote huu unautunzaje maana mimi 10Kg tu huwa zinaisha wakati unga umeanza kuwa mchungu mchungu! Naomba uniibie siri utunzaji wako.
nina ndoo maalum za kutunzia vitu kama hivyo nahakikisha ndoo hazina maji na hua nahakikisha nikifunga mfuniko nakaza tena unga ukikaa sana dukani ndio unakuta ubafanya wadudu unga wa ngano ukiweka ndoo ikiwa na maji hali ni hiyo hiyo maharage ukihifadhi usifunike ndoo mchele hakikisha tu ndoo ni kavu bas
hakikisha tu unga haujakaa sana dukani inategemea unaponunulia mimi hupendelea sana kununua unga mashine wa sembe wa ngano kuna mtu anaitwa shehoza ndio hupenda zaidi kununua vitu hapo kwake kama unga wa ngano na mafuta ya kulaNashukuru Madam, hii na forward kwa โmy wanguโ.
hakikisha tu unga haujakaa sana dukani inategemea unaponunulia mimi hupendelea sana kununua unga mashine wa sembe wa ngano kuna mtu anaitwa shehoza ndio hupenda zaidi kununua vitu hapo kwake kama unga wa ngano na mafuta ya kula
Shukrani sana kwa directives..tuendelee kujulishana fursa zaidi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
labda shida iko kwenye mahindi mimi hua nanunua unga ambao tayar ushapakiwaMimi huwaga nanunua mahindi na kisha kukoboa na kusaga, kwa ngano huwa nanunua 10Kg tu na huwa unaisha bila kuharibika ila sasa huu wa mahindi ndo huwa ni shida kidogo.